< Zaburi 54 >

1 Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Wakati Wazifu walimwendea Sauli na kumjulisha, “Je, Daudi hajifichi miongoni mwetu?” Ee Mungu uniokoe kwa jina lako, unifanyie hukumu kwa uwezo wako.
Bože! imenom svojim pomozi mi, i krjepošæu svojom odbrani me na sudu.
2 Ee Mungu, sikia maombi yangu, usikilize maneno ya kinywa changu.
Bože! usliši molitvu moju, èuj rijeèi usta mojih.
3 Wageni wananishambulia, watu wakatili wanayatafuta maisha yangu, watu wasiomjali Mungu.
Jer tuðini ustaše na me, i silni traže dušu moju; nemaju Boga pred sobom.
4 Hakika Mungu ni msaada wangu, Bwana ndiye anayenitegemeza.
Gle, Bog je pomoænik moj, Gospod daje snagu duši mojoj.
5 Mabaya na yawarudie wale wanaonisingizia, kwa uaminifu wako uwaangamize.
Obratiæe zlo na neprijatelje moje, istinom svojom istrijebiæe ih.
6 Nitakutolea dhabihu za hiari; Ee Bwana, nitalisifu jina lako kwa kuwa ni vyema.
Rado æu prinijeti žrtvu, proslaviæu ime tvoje, Gospode, jer je dobro.
7 Kwa maana ameniokoa katika shida zangu zote, na macho yangu yamewatazama adui zangu kwa ushindi.
Jer me izbavljaš od svake nevolje, i na neprijatelje moje bez straha gleda oko moje.

< Zaburi 54 >