< Zaburi 54 >
1 Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Wakati Wazifu walimwendea Sauli na kumjulisha, “Je, Daudi hajifichi miongoni mwetu?” Ee Mungu uniokoe kwa jina lako, unifanyie hukumu kwa uwezo wako.
Salva-me, ó Deus, pelo teu nome, e faze-me justiça pelo teu poder.
2 Ee Mungu, sikia maombi yangu, usikilize maneno ya kinywa changu.
Ó Deus, ouve a minha oração, inclina os teus ouvidos ás palavras da minha bocca.
3 Wageni wananishambulia, watu wakatili wanayatafuta maisha yangu, watu wasiomjali Mungu.
Porque os estranhos se levantam contra mim, e tyrannos procuram a minha vida: não teem posto Deus perante os seus olhos (Selah)
4 Hakika Mungu ni msaada wangu, Bwana ndiye anayenitegemeza.
Eis que Deus é o meu ajudador, o Senhor está com aquelles que susteem a minha alma.
5 Mabaya na yawarudie wale wanaonisingizia, kwa uaminifu wako uwaangamize.
Elle recompensará com o mal aquelles que me andam espiando: destroe-os na tua verdade.
6 Nitakutolea dhabihu za hiari; Ee Bwana, nitalisifu jina lako kwa kuwa ni vyema.
Eu te offerecerei voluntariamente sacrificios, louvarei o teu nome ó Senhor, porque é bom.
7 Kwa maana ameniokoa katika shida zangu zote, na macho yangu yamewatazama adui zangu kwa ushindi.
Pois me tem livrado de toda a angustia; e os meus olhos viram o meu desejo sobre os meus inimigos.