< Zaburi 54 >

1 Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Wakati Wazifu walimwendea Sauli na kumjulisha, “Je, Daudi hajifichi miongoni mwetu?” Ee Mungu uniokoe kwa jina lako, unifanyie hukumu kwa uwezo wako.
Rombaho iraho ry Andrianañahare ty amy tahina’oy, vaho meo-to amo haozara’oo.
2 Ee Mungu, sikia maombi yangu, usikilize maneno ya kinywa changu.
Ry Andrianañahare, janjiño ty halaliko, toloro ravembia o entam-bavakoo.
3 Wageni wananishambulia, watu wakatili wanayatafuta maisha yangu, watu wasiomjali Mungu.
Miongake hiatreatre ahy ty ambahiny, paia’ o mitrotrofiakeo ty fiaiko, tsy nampiaoloe’ iareo t’i Andrianañahare. Selà
4 Hakika Mungu ni msaada wangu, Bwana ndiye anayenitegemeza.
Inao! Mpañimb’ahy t’i Andrianañahare, Fiatoam-piaiko t’i Talè.
5 Mabaya na yawarudie wale wanaonisingizia, kwa uaminifu wako uwaangamize.
Hafote’e amo mivoñoñe ahiko ty haratia’ iareo; Rotsaho iereo ami’ty figahiña’o.
6 Nitakutolea dhabihu za hiari; Ee Bwana, nitalisifu jina lako kwa kuwa ni vyema.
Mañenga ama’o an-tsatrin-tro iraho, andriañeko i tahina’oy ry Iehovà, amy te ie ty soa;
7 Kwa maana ameniokoa katika shida zangu zote, na macho yangu yamewatazama adui zangu kwa ushindi.
Fa nafaha’e amako ze hene haemberañe, vaho nisambae’ o masokoo o rafelahikoo.

< Zaburi 54 >