< Zaburi 54 >

1 Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Wakati Wazifu walimwendea Sauli na kumjulisha, “Je, Daudi hajifichi miongoni mwetu?” Ee Mungu uniokoe kwa jina lako, unifanyie hukumu kwa uwezo wako.
Nzembo ya Davidi. Wuta na buku ya mokambi ya bayembi. Eyembamaki na lindanda tango bato ya Zifi bayaki koyebisa Saulo: « Davidi abombami kati na biso. » Oh Nzambe, bikisa ngai na nzela ya Kombo na Yo, longisa ngai na nzela ya nguya na Yo.
2 Ee Mungu, sikia maombi yangu, usikilize maneno ya kinywa changu.
Oh Nzambe, yoka libondeli na ngai, yoka maloba ya monoko na ngai.
3 Wageni wananishambulia, watu wakatili wanayatafuta maisha yangu, watu wasiomjali Mungu.
Bapaya batelemi mpo na kobundisa ngai; mpe bato na kanza bazali koluka koboma ngai, batalelaka Nzambe te.
4 Hakika Mungu ni msaada wangu, Bwana ndiye anayenitegemeza.
Tala, Nzambe azali lisungi na ngai, Nkolo azali eyekamelo na ngai.
5 Mabaya na yawarudie wale wanaonisingizia, kwa uaminifu wako uwaangamize.
Tika ete akweyisela bayini na ngai mabe! Kati na boyengebene na Yo, bebisa bango.
6 Nitakutolea dhabihu za hiari; Ee Bwana, nitalisifu jina lako kwa kuwa ni vyema.
Nakobonzela Yo mbeka na motema malamu, nakokumisa Kombo na Yo, Oh Yawe, pamba te ozali malamu.
7 Kwa maana ameniokoa katika shida zangu zote, na macho yangu yamewatazama adui zangu kwa ushindi.
Okangoli ngai na pasi nyonso; mpe miso na ngai etali lokola molongi ya banguna na ngai.

< Zaburi 54 >