< Zaburi 54 >
1 Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Wakati Wazifu walimwendea Sauli na kumjulisha, “Je, Daudi hajifichi miongoni mwetu?” Ee Mungu uniokoe kwa jina lako, unifanyie hukumu kwa uwezo wako.
Isalakannak, O Dios, babaen iti naganmo ket usigennak iti pannakabalinmo,
2 Ee Mungu, sikia maombi yangu, usikilize maneno ya kinywa changu.
Denggem ti kararagko, O Dios; denggem dagiti sao ti ngiwatko.
3 Wageni wananishambulia, watu wakatili wanayatafuta maisha yangu, watu wasiomjali Mungu.
Ta darupendak dagiti natangsit a tattao, ken sinapul dagiti awanan asi a tattao ti biagko; saanda nga impangag ti Dios iti sangoananda. (Selah)
4 Hakika Mungu ni msaada wangu, Bwana ndiye anayenitegemeza.
Kitaem, ti Dios ti katulongak, ti Apo ti mangsaranay kaniak.
5 Mabaya na yawarudie wale wanaonisingizia, kwa uaminifu wako uwaangamize.
Supapakannanto ti dakes dagiti kabusorko; babaen iti kinapudnom, dadaelem ida!
6 Nitakutolea dhabihu za hiari; Ee Bwana, nitalisifu jina lako kwa kuwa ni vyema.
Siraragsakakto a mangipaay iti datonko kenka; agyamanakto iti naganmo, O Yahweh, ta naimbagka.
7 Kwa maana ameniokoa katika shida zangu zote, na macho yangu yamewatazama adui zangu kwa ushindi.
Ta inispalnak kadagiti amin a parikutko; nakitak ti balligi kadagiti kabusorko.