< Zaburi 53 >
1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi. Utenzi wa Daudi. Mpumbavu anasema moyoni mwake, “Hakuna Mungu.” Wameharibika, na njia zao ni za uovu kabisa, hakuna hata mmoja atendaye mema.
Müzik şefi için - Mahalat makamında Davut'un Maskili Akılsız içinden, “Tanrı yok!” der. İnsanlar bozuldu, iğrençlik aldı yürüdü, İyilik eden yok.
2 Mungu anawachungulia wanadamu chini kutoka mbinguni aone kama wako wenye akili, wowote wanaomtafuta Mungu.
Tanrı göklerden bakar oldu insanlara, Akıllı, Tanrı'ya yönelen biri var mı diye.
3 Kila mmoja amegeukia mbali, wameharibika wote pamoja, hakuna atendaye mema. Naam, hakuna hata mmoja!
Hepsi saptı, Tümü yozlaştı, İyilik eden yok, Bir kişi bile!
4 Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza: wale ambao huwala watu wangu kama watu walavyo mkate, hao ambao hawamwiti Mungu?
Suç işleyenler görmüyor mu? Halkımı ekmek yer gibi yiyor, Tanrı'ya yakarmıyorlar.
5 Hapo waliingiwa na hofu kuu, ambapo hapakuwa cha kutetemesha. Mungu alitawanya mifupa ya wale waliokushambulia; uliwaaibisha, kwa sababu Mungu aliwadharau.
Ama korkulmayacak yerde korkacaklar, Çünkü Tanrı seni kuşatanların kemiklerini dağıtacak, Onları reddettiği için hepsini utandıracak.
6 Laiti wokovu wa Israeli ungalikuja kutoka Sayuni! Wakati Mungu arejeshapo wafungwa wa watu wake, Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi!
Keşke İsrail'in kurtuluşu Siyon'dan gelse! Tanrı halkını eski gönencine kavuşturunca, Yakup soyu sevinecek, İsrail halkı coşacak.