< Zaburi 53 >
1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi. Utenzi wa Daudi. Mpumbavu anasema moyoni mwake, “Hakuna Mungu.” Wameharibika, na njia zao ni za uovu kabisa, hakuna hata mmoja atendaye mema.
Načelniku godbe na piščal; pesem Davidova ukovita. Nespametni govori v srci svojem: Ni ga Boga; pohujšujejo in ostudno krivico doprinašajo, ni ga, da bi delal dobro.
2 Mungu anawachungulia wanadamu chini kutoka mbinguni aone kama wako wenye akili, wowote wanaomtafuta Mungu.
Bog z neba gleda dol na sinove človeške, da bi videl, je li kateri, da bi bil razumen, da bi iskal Boga.
3 Kila mmoja amegeukia mbali, wameharibika wote pamoja, hakuna atendaye mema. Naam, hakuna hata mmoja!
Vsak je odstopil, izpridili so se vsi vkup: ni ga, da bi delal dobro, ne enega samega.
4 Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza: wale ambao huwala watu wangu kama watu walavyo mkate, hao ambao hawamwiti Mungu?
Ali si niso v svesti, kateri delajo krivico, ker žró ljudstvo moje kruh jedóč, ne kličejo Boga?
5 Hapo waliingiwa na hofu kuu, ambapo hapakuwa cha kutetemesha. Mungu alitawanya mifupa ya wale waliokushambulia; uliwaaibisha, kwa sababu Mungu aliwadharau.
Tam se preplašijo od groze, kjer ni groze; ker Bog razsuje kosti vsakega, kateri ima šatorišče svoje zoper tebe; osramotiš jih, ker Bog jih zameta.
6 Laiti wokovu wa Israeli ungalikuja kutoka Sayuni! Wakati Mungu arejeshapo wafungwa wa watu wake, Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi!
O kdó naj dá blaginjo sè Sijona Izraelu? Ko bode nazaj peljal iz sužnjosti ljudstva svojega krdelo, veselil se bode Jakob, radoval se Izrael.