< Zaburi 53 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi. Utenzi wa Daudi. Mpumbavu anasema moyoni mwake, “Hakuna Mungu.” Wameharibika, na njia zao ni za uovu kabisa, hakuna hata mmoja atendaye mema.
Pour la fin, pour Maheleth. Intelligence à David. Ils se sont corrompus, et sont devenus abominables dans leurs iniquités; il n’en est pas qui fasse le bien.
2 Mungu anawachungulia wanadamu chini kutoka mbinguni aone kama wako wenye akili, wowote wanaomtafuta Mungu.
Dieu, du haut du ciel, a jeté un regard sur les fils des hommes, afin de voir s’il en est un intelligent ou cherchant Dieu.
3 Kila mmoja amegeukia mbali, wameharibika wote pamoja, hakuna atendaye mema. Naam, hakuna hata mmoja!
Tous se sont détournés, tous ensemble sont devenus inutiles; il n’en est pas qui fassent le bien; il n’en est pas même un seul.
4 Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza: wale ambao huwala watu wangu kama watu walavyo mkate, hao ambao hawamwiti Mungu?
Est-ce qu’ils ne connaîtront point, tous ceux qui opèrent l’iniquité, qui dévorent mon peuple comme un morceau de pain?
5 Hapo waliingiwa na hofu kuu, ambapo hapakuwa cha kutetemesha. Mungu alitawanya mifupa ya wale waliokushambulia; uliwaaibisha, kwa sababu Mungu aliwadharau.
Ils n’ont pas invoqué le Seigneur, ils ont tremblé de frayeur là où n’était pas la crainte. Parce que Dieu a dispersé les os de ceux qui plaisent aux hommes; ils ont été confondus, parce que le Seigneur les a méprisés.
6 Laiti wokovu wa Israeli ungalikuja kutoka Sayuni! Wakati Mungu arejeshapo wafungwa wa watu wake, Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi!
Qui fera sortir de Sion le salut d’Israël? Lorsque Dieu aura ramené la captivité de son peuple, Jacob exultera: Israël sera dans l’allégresse.

< Zaburi 53 >