< Zaburi 53 >
1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi. Utenzi wa Daudi. Mpumbavu anasema moyoni mwake, “Hakuna Mungu.” Wameharibika, na njia zao ni za uovu kabisa, hakuna hata mmoja atendaye mema.
Maskil de David, [donné] au maître chantre, [pour le chanter] sur Mahalath. L'insensé dit en son cœur: Il n'y a point de Dieu. Ils se sont corrompus, ils ont rendu abominable leur perversité; il n'y a personne qui fasse bien.
2 Mungu anawachungulia wanadamu chini kutoka mbinguni aone kama wako wenye akili, wowote wanaomtafuta Mungu.
Dieu a regardé des Cieux sur les fils des hommes, pour voir s'il y en a quelqu'un qui soit intelligent, [et] qui cherche Dieu.
3 Kila mmoja amegeukia mbali, wameharibika wote pamoja, hakuna atendaye mema. Naam, hakuna hata mmoja!
Ils se sont tous retirés en arrière, [et] se sont tous rendus odieux: il n'y a personne qui fasse bien, non pas même un seul.
4 Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza: wale ambao huwala watu wangu kama watu walavyo mkate, hao ambao hawamwiti Mungu?
Les ouvriers d'iniquité n'ont-ils point de connaissance, mangeant mon peuple, [comme] s'ils mangeaient du pain? Ils n'invoquent point Dieu.
5 Hapo waliingiwa na hofu kuu, ambapo hapakuwa cha kutetemesha. Mungu alitawanya mifupa ya wale waliokushambulia; uliwaaibisha, kwa sababu Mungu aliwadharau.
Ils seront extrêmement effrayés là où ils n'avaient point eu de peur; car Dieu a dispersé les os de celui qui se campe contre toi. Tu les as rendus confus, parce que Dieu les a rendus contemptibles.
6 Laiti wokovu wa Israeli ungalikuja kutoka Sayuni! Wakati Mungu arejeshapo wafungwa wa watu wake, Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi!
Ô qui donnera de Sion les délivrances d'Israël? Quand Dieu aura ramené son peuple captif, Jacob s'égayera, Israël se réjouira.