< Zaburi 53 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi. Utenzi wa Daudi. Mpumbavu anasema moyoni mwake, “Hakuna Mungu.” Wameharibika, na njia zao ni za uovu kabisa, hakuna hata mmoja atendaye mema.
Til Sangmesteren; til „Makalath‟; en Undervisning af David.
2 Mungu anawachungulia wanadamu chini kutoka mbinguni aone kama wako wenye akili, wowote wanaomtafuta Mungu.
En Daare siger i sit Hjerte: Der er ingen Gud; fordærvelig og vederstyggelig er deres onde Gerning; der er ingen, som gør godt.
3 Kila mmoja amegeukia mbali, wameharibika wote pamoja, hakuna atendaye mema. Naam, hakuna hata mmoja!
Gud saa ned fra Himmelen paa Menneskens Børn, at se, om der var en forstandig, nogen, som søgte Gud.
4 Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza: wale ambao huwala watu wangu kama watu walavyo mkate, hao ambao hawamwiti Mungu?
Enhver er afvegen, de ere fordærvede til Hobe; der er ingen, som gør godt, end ikke een.
5 Hapo waliingiwa na hofu kuu, ambapo hapakuwa cha kutetemesha. Mungu alitawanya mifupa ya wale waliokushambulia; uliwaaibisha, kwa sababu Mungu aliwadharau.
Have de ikke kendt det, de, som gøre Uret, som æde mit Folk, som de aade Brød? de kalde ikke paa Gud.
6 Laiti wokovu wa Israeli ungalikuja kutoka Sayuni! Wakati Mungu arejeshapo wafungwa wa watu wake, Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi!
Den Gang frygtede de saare, hvor intet var at frygte; thi Gud spredte Benene af dem, som lejrede sig imod dig; du gjorde dem til Skamme, thi Gud havde forkastet dem. Gid der fra Zion kom Frelse for Israel; naar Gud tilbagefører sit fangne Folk, da skal Jakob fryde sig, Israel glæde sig.

< Zaburi 53 >