< Zaburi 52 >
1 Kwa mwimbishaji. Utenzi wa Daudi. Baada ya Doegi, Mwedomu kumwendea Sauli na kumjulisha kuwa: “Daudi amekwenda nyumbani kwa Ahimeleki.” Ewe jitu, mbona unajivunia ubaya? Kwa nini unajivuna mchana kutwa, wewe ambaye ni fedheha mbele za Mungu?
Müzik şefi için - Davut'un Maskili Edomlu Doek gelip Saul'a “Davut Ahimelek'in evine girdi” diye bildirdiği zaman Niçin kötülüğünle böbürlenirsin, ey kabadayı, Tanrı'nın sadık kullarına karşı Bütün gün dilin yıkım tasarlar Keskin ustura gibi, ey hilekâr.
2 Ulimi wako hupanga mashauri mabaya ya maangamizi. Ni kama wembe mkali, ninyi mfanyao hila.
3 Unapenda mabaya kuliko mema, uongo kuliko kusema kweli.
İyilikten çok kötülüğü, Doğru konuşmaktan çok yalanı seversin. (Sela)
4 Unapenda kila neno lenye kudhuru, ewe ulimi wenye hila!
Seni hileli dil seni! Her yıkıcı sözü seversin.
5 Hakika Mungu atakushusha chini kwa maangamizi ya milele: atakunyakua na kukuondoa kwa nguvu kutoka hema yako, atakungʼoa kutoka nchi ya walio hai.
Ama Tanrı seni sonsuza dek yıkacak, Seni kapıp çadırından fırlatacak, Yaşam diyarından kökünü sökecek. (Sela)
6 Wenye haki wataona na kuogopa, watamcheka, wakisema,
Doğrular bunu görünce korkacak, Gülerek şöyle diyecekler:
7 “Huyu ni yule mtu ambaye hakumfanya Mungu kuwa ngome yake, bali alitumainia wingi wa utajiri wake, na akawa hodari kwa kuwaangamiza wengine!”
“İşte bu adam, Tanrı'ya sığınmak istemedi, Servetinin bolluğuna güvendi, Başkalarını yıkarak güçlendi!”
8 Lakini mimi ni kama mti wa mzeituni unaostawi katika nyumba ya Mungu, nautegemea upendo wa Mungu usiokoma milele na milele.
Ama ben Tanrı'nın evinde yeşeren zeytin ağacı gibiyim, Sonsuza dek Tanrı'nın sevgisine güvenirim.
9 Nitakusifu milele kwa yale uliyoyatenda, nitatumaini jina lako, kwa kuwa jina lako ni jema. Nitakusifu mbele ya watakatifu wako.
Sürekli sana şükrederim yaptıkların için, Sadık kullarının önünde umut bağlarım, Çünkü adın iyidir.