< Zaburi 50 >
1 Zaburi ya Asafu. Mwenye Nguvu, Mungu, Bwana, asema na kuiita dunia, tangu mawio ya jua hadi mahali pake liendapo kutua.
Kathutkung: Asaph Athakaawme, BAWIPA Cathut ni lawk a dei. Talai heh kanîtho koehoi kanîloum totouh ka kaw.
2 Kutoka Sayuni, penye uzuri mkamilifu, Mungu anaangaza.
Meihawinae kuep Zion hoi Cathut teh a ang han.
3 Mungu wetu anakuja na hatakaa kimya, moto uteketezao unamtangulia, akiwa amezungukwa na tufani kali.
Maimae Cathut tho vaiteh, duem awm mahoeh. A hmalah hmai kang vaiteh, petkâkalup lah kahlî a tho han.
4 Anaziita mbingu zilizo juu, na nchi, ili aweze kuwahukumu watu wake:
A taminaw lawkceng thai nahanlah, lathueng lae kalvannaw kaw vaiteh, talai hai a kaw han.
5 “Nikusanyieni watu wangu waliowekwa wakfu, waliofanya agano nami kwa dhabihu.”
Thuengnae lahoi kama koe lawkkamnae ka sak e ka tamikathoungnaw, kai koe kamkhueng awh ati han.
6 Nazo mbingu zinatangaza haki yake, kwa maana Mungu mwenyewe ni hakimu.
Kalvannaw ni a lannae pâpho naseh. Bangkongtetpawiteh, Cathut ma roeroe heh lawkcengkung doeh.
7 “Sikieni, enyi watu wangu, nami nitasema, ee Israeli, nami nitashuhudia dhidi yenu: Mimi ndimi Mungu, Mungu wenu.
Oe ka taminaw, thai awh haw, lawk ka dei vai. Oe Isarel, nang taranlahoi ka dei han. Kai heh Cathut na Cathut doeh.
8 Sikukemei kwa sababu ya dhabihu zako, au sadaka zako za kuteketezwa, ambazo daima ziko mbele zangu.
Nange thuengnae dawk na yue mahoeh. Ka hmalah pout laipalah kaawm e hmaisawi thuengnae dawk hai na yue mahoeh.
9 Sina haja ya fahali wa banda lako, au mbuzi wa zizi lako.
Na imthung e maitotan ka lat mahoeh. Na saring thung e hmaetan hai ka lat mahoeh.
10 Kwa maana kila mnyama wa msituni ni wangu, na pia makundi ya mifugo juu ya vilima elfu.
Bangkongtetpawiteh, ratu dawk e sarang pueng teh kaie doeh. Mon 1,000 touh dawk ka pâ e moithangnaw hai kaie doeh.
11 Ninamjua kila ndege mlimani, nao viumbe wa kondeni ni wangu.
Monsom e tavaca pueng ka panue. Mon 1,000 touh dawk ka pâ e moithangnaw hai kaie doeh.
12 Kama ningekuwa na njaa, nisingewaambia ninyi, kwa maana ulimwengu ni wangu, pamoja na vyote vilivyomo ndani yake.
Ka vonhlam pawiteh nang koe ka dei mahoeh. Bangkongtetpawiteh, talaivan hoi a thung e kaawm e pueng teh kaie doeh.
13 Je, mimi hula nyama ya mafahali au kunywa damu ya mbuzi?
Maitotan moi ka ca han namaw. Hmae thi ka nei han namaw.
14 Toa sadaka za shukrani kwa Mungu, timiza nadhiri zako kwake Yeye Aliye Juu Sana,
Lunghawilawkdeinae thuengnae hah Cathut koe poe haw. Lathueng Poung koe na lawkkamnae hah kuep sak haw.
15 na uniite siku ya taabu; nami nitakuokoa, nawe utanitukuza.”
Runae na kâhmo navah kai hah na kaw haw. Kai ni na rasa han, nang ni hai kai hah na bawilen sak han.
16 Lakini kwake mtu mwovu, Mungu asema: “Una haki gani kunena sheria zangu au kuchukua agano langu midomoni mwako?
Hatei Cathut ni tamikathout koevah, bangkongmaw ka coungnae hah na pâpho teh, na pahni hoi ka lawkkam hah na pâpho.
17 Unachukia mafundisho yangu na kuyatupa maneno yangu nyuma yako.
Kaie yuenae hah na hmuhma teh, ka lawk hah hnuklah na tâkhawng.
18 Unapomwona mwizi, unaungana naye, unapiga kura yako pamoja na wazinzi.
Tamru na hmu toteh tang na kamyawngkhai teh, uicuknaw na hmu toteh tang na kambawngkhai.
19 Unakitumia kinywa chako kwa mabaya na kuuongoza ulimi wako kwa hila.
Na kâko hah thoenae koe na hno teh, na lai hah dumyennae koe bout na hno.
20 Wanena daima dhidi ya ndugu yako na kumsingizia mwana wa mama yako.
Na tahung teh, na hmaunawngha tounkhouknae lawk na dei.
21 Mambo haya unayafanya, nami nimekaa kimya, ukafikiri Mimi nami ni kama wewe. Lakini nitakukemea na kuweka mashtaka mbele yako.
Hottelah na o nahlangva kai ni duem na o takhai navah, nama patetlah kai hah na pouk. Hatei, na yue vaiteh na yonnae hah na hmaitung vah peng ka dan han.
22 “Yatafakarini haya, ninyi mnaomsahau Mungu, ama sivyo nitawararua vipande vipande, wala hapatakuwepo na yeyote wa kuwaokoa:
Nangmouh Cathut na kapahnimnaw hetheh pouk awh haw. Hoehpawiteh, kai ni koung na phi payon vaih. Karasatkung na tawn mahoeh.
23 Atoaye dhabihu za shukrani ananiheshimu mimi, naye aiandaa njia yake ili nimwonyeshe wokovu wa Mungu.”
Lunghawilawkdeinae thuengnae ka sak e pueng teh, kai ka bawilen sak e lah ao. A cei nahan lamthung ka pouk e tami koe Cathut e rungngangnae lamthung ka pâtue han.