< Zaburi 48 >
1 Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu, mlima wake mtakatifu.
En sång, en psalm av Koras söner.
2 Ni mzuri katika kuinuka kwake juu sana, furaha ya dunia yote. Kama vilele vya juu sana vya Safoni ni Mlima Sayuni, mji wa Mfalme Mkuu.
Stor är HERREN och högt lovad, i vår Guds stad, på sitt heliga berg.
3 Mungu yuko katika ngome zake; amejionyesha mwenyewe kuwa ngome yake.
Skönt höjer det sig, hela jordens fröjd, berget Sion längst uppe i norr, den store konungens stad.
4 Wakati wafalme walipounganisha nguvu, waliposonga mbele pamoja,
Gud har i dess palatser gjort sig känd såsom ett värn.
5 walimwona nao wakashangaa, wakakimbia kwa hofu.
Ty se, konungarna församlade sig, tillhopa drogo de fram.
6 Kutetemeka kuliwashika huko, maumivu kama ya mwanamke mwenye utungu wa kuzaa.
De sågo det, då häpnade de; de förskräcktes, de flydde.
7 Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi zilizovunjwa na upepo wa mashariki.
Bävan grep dem där, ångest lik en barnaföderskas.
8 Kama tulivyokuwa tumesikia, ndivyo tulivyoona katika mji wa Bwana Mwenye Nguvu Zote, katika mji wa Mungu wetu: Mungu ataufanya uwe salama milele.
Så krossar du Tarsis-skepp med östanvinden.
9 Ee Mungu, hekaluni mwako tunatafakari upendo wako usiokoma.
Såsom vi hade hört, så fingo vi se det, i HERREN Sebaots stad, i vår Guds stad; Gud håller den vid makt till evig tid. (Sela)
10 Ee Mungu, kama jina lako lilivyo, sifa zako zinafika hadi miisho ya dunia, mkono wako wa kuume umejazwa na haki.
Vi tänka, o Gud, på din nåd, när vi stå i ditt tempel.
11 Mlima Sayuni unashangilia, vijiji vya Yuda vinafurahi kwa sababu ya hukumu zako.
Såsom ditt namn, o Gud, så når ock ditt lov intill jordens ändar; din högra hand är full av rättfärdighet.
12 Tembeeni katika Sayuni, uzungukeni mji, hesabuni minara yake;
Sions berg glädje sig, Juda döttrar fröjde sig, för dina domars skull.
13 yatafakarini vyema maboma yake, angalieni ngome zake, ili mpate kusimulia habari zake kwa kizazi kijacho.
Gån omkring Sion och vandren runt därom, räknen dess torn;
14 Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; atakuwa kiongozi wetu hata mwisho.
given akt på dess murar, skriden genom dess palatser, så att I kunnen förtälja därom för ett kommande släkte. Ty sådan är Gud, vår Gud, alltid och evinnerligen; intill döden skall han ledsaga oss.