< Zaburi 48 >

1 Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu, mlima wake mtakatifu.
En Psalmvisa, Korah barnas. Stor är Herren, och högt berömd, uti vår Guds stad, på hans helga berg.
2 Ni mzuri katika kuinuka kwake juu sana, furaha ya dunia yote. Kama vilele vya juu sana vya Safoni ni Mlima Sayuni, mji wa Mfalme Mkuu.
Det berget Zion är såsom en skön telning, på hvilko hela landet tröster; på den sidone norrut ligger den stora Konungens stad.
3 Mungu yuko katika ngome zake; amejionyesha mwenyewe kuwa ngome yake.
Gud är känd i hans palats, att han beskärmaren är.
4 Wakati wafalme walipounganisha nguvu, waliposonga mbele pamoja,
Ty si, Konungar äro församlade, och med hvarannan framdragne.
5 walimwona nao wakashangaa, wakakimbia kwa hofu.
De hafva förundrat sig, då de detta sågo; vordo häpne och omstörta.
6 Kutetemeka kuliwashika huko, maumivu kama ya mwanamke mwenye utungu wa kuzaa.
Bäfvande är dem der påkommet, ångest såsom ene födande qvinno.
7 Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi zilizovunjwa na upepo wa mashariki.
Du sönderbråkar skeppen i hafvet, igenom östanväder.
8 Kama tulivyokuwa tumesikia, ndivyo tulivyoona katika mji wa Bwana Mwenye Nguvu Zote, katika mji wa Mungu wetu: Mungu ataufanya uwe salama milele.
Såsom vi hört hafve, så se vi det på Herrans Zebaoths stad, vår Guds stad. Gud håller honom vid magt evinnerliga. (Sela)
9 Ee Mungu, hekaluni mwako tunatafakari upendo wako usiokoma.
Gud, vi förbide dina godhet i ditt tempel.
10 Ee Mungu, kama jina lako lilivyo, sifa zako zinafika hadi miisho ya dunia, mkono wako wa kuume umejazwa na haki.
Gud, såsom ditt Namn, så är ock ditt lof, allt intill verldenes ändar; din högra hand är full med rättfärdighet.
11 Mlima Sayuni unashangilia, vijiji vya Yuda vinafurahi kwa sababu ya hukumu zako.
Berget Zion fröjde sig, och Juda döttrar vare glada, för dina rätters skull.
12 Tembeeni katika Sayuni, uzungukeni mji, hesabuni minara yake;
Går omkring Zion och beskåder det; täljer dess torn;
13 yatafakarini vyema maboma yake, angalieni ngome zake, ili mpate kusimulia habari zake kwa kizazi kijacho.
Gifver granna akt uppå dess murar, och upphöjer dess palats; på det man derom må förkunna för efterkommanderna.
14 Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; atakuwa kiongozi wetu hata mwisho.
Ty denne Guden är vår Gud, alltid och evinnerliga; han förer oss såsom ungdomen.

< Zaburi 48 >