< Zaburi 48 >

1 Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu, mlima wake mtakatifu.
Para el director del coro. Un salmo de los hijos de Coré. ¡El Señor es supremo! Merece la alabanza en la ciudad santa de nuestro Dios.
2 Ni mzuri katika kuinuka kwake juu sana, furaha ya dunia yote. Kama vilele vya juu sana vya Safoni ni Mlima Sayuni, mji wa Mfalme Mkuu.
El monte de Sión es alto y hermoso, trayendo felicidad a toda la tierra; la ciudad del gran Rey está sobre el lado nortep.
3 Mungu yuko katika ngome zake; amejionyesha mwenyewe kuwa ngome yake.
Dios mismo está en la fortaleza de la ciudad; es conocido como su defensor.
4 Wakati wafalme walipounganisha nguvu, waliposonga mbele pamoja,
Miren lo que pasa cuando los reyes extranjeros unen fuerzas para atacar la ciudad.
5 walimwona nao wakashangaa, wakakimbia kwa hofu.
Tan pronto como la vieron quedaron asombrados y corrieron aterrorizados.
6 Kutetemeka kuliwashika huko, maumivu kama ya mwanamke mwenye utungu wa kuzaa.
Se sacudieron por todas partes, y estaban en dolor agonizante como una mujer dando a luz,
7 Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi zilizovunjwa na upepo wa mashariki.
tal como el viento fuerte del este rompiendo el barco de Tarsis.
8 Kama tulivyokuwa tumesikia, ndivyo tulivyoona katika mji wa Bwana Mwenye Nguvu Zote, katika mji wa Mungu wetu: Mungu ataufanya uwe salama milele.
Tal como hemos escuchado, pero ahora hemos visto la ciudad del Señor todopoderoso. Esta es la ciudad de nuestro Dios; Él la mantendrá segura por siempre. (Selah)
9 Ee Mungu, hekaluni mwako tunatafakari upendo wako usiokoma.
Dios, meditamos en tu gran amor mientras adoramos en el Templo.
10 Ee Mungu, kama jina lako lilivyo, sifa zako zinafika hadi miisho ya dunia, mkono wako wa kuume umejazwa na haki.
Como es digno de tu reputación, Dios, las alabanzas a ti se extienden por todo el mundo. ¡Lo que haces siempre es bueno!
11 Mlima Sayuni unashangilia, vijiji vya Yuda vinafurahi kwa sababu ya hukumu zako.
Deja que la gente del Monte de Sión se alegre; ¡Permite que la gente de Judá celebre porque tus mandatos siempre son justos!
12 Tembeeni katika Sayuni, uzungukeni mji, hesabuni minara yake;
Ve y dale un vistazo a Sión. Cuenta las torres mientras caminas.
13 yatafakarini vyema maboma yake, angalieni ngome zake, ili mpate kusimulia habari zake kwa kizazi kijacho.
Inspecciona los fuertes. Examina las ciudadelas, para que puedas describirle todo a la siguiente generación, diciéndoles:
14 Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; atakuwa kiongozi wetu hata mwisho.
“Esto es lo que nuestro Dios es. Él es nuestro Rey por siempre y para siempre. Él mismo nos guiará hasta el final”.

< Zaburi 48 >