< Zaburi 48 >

1 Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu, mlima wake mtakatifu.
Cântico e salmo, dos filhos de Coré: O SENHOR [é] grande e muito louvável, na cidade de nosso Deus, [no] monte de sua santidade.
2 Ni mzuri katika kuinuka kwake juu sana, furaha ya dunia yote. Kama vilele vya juu sana vya Safoni ni Mlima Sayuni, mji wa Mfalme Mkuu.
Belo de se ver e alegria de toda a terra [é] o monte de Sião, nas terras do norte; a cidade do grande Rei.
3 Mungu yuko katika ngome zake; amejionyesha mwenyewe kuwa ngome yake.
Deus [está] em seus palácios, [e] é conhecido como alto refúgio.
4 Wakati wafalme walipounganisha nguvu, waliposonga mbele pamoja,
Porque eis que os reis se reuniram; eles juntamente passaram
5 walimwona nao wakashangaa, wakakimbia kwa hofu.
Eles, [quando] a viram, ficaram maravilhados; assombraram-se, fugiram apressadamente.
6 Kutetemeka kuliwashika huko, maumivu kama ya mwanamke mwenye utungu wa kuzaa.
Ali o temor os tomou, [e sentiram] dores como as de parto.
7 Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi zilizovunjwa na upepo wa mashariki.
Com o vento do oriente tu quebras os navios de Társis.
8 Kama tulivyokuwa tumesikia, ndivyo tulivyoona katika mji wa Bwana Mwenye Nguvu Zote, katika mji wa Mungu wetu: Mungu ataufanya uwe salama milele.
Assim como nós ouvimos, também vimos na cidade do SENHOR dos exércitos, na cidade do nosso Deus; Deus a firmará para sempre. (Selá)
9 Ee Mungu, hekaluni mwako tunatafakari upendo wako usiokoma.
Deus, nós reconhecemos tua bondade no meio de teu templo.
10 Ee Mungu, kama jina lako lilivyo, sifa zako zinafika hadi miisho ya dunia, mkono wako wa kuume umejazwa na haki.
Conforme o teu nome, ó Deus, assim é o louvor a ti, até os confins da terra; tua mão direita está cheia de justiça.
11 Mlima Sayuni unashangilia, vijiji vya Yuda vinafurahi kwa sababu ya hukumu zako.
Alegre-se o monte de Sião, fiquem contentes as filhas de Judá, por causa de teus juízos.
12 Tembeeni katika Sayuni, uzungukeni mji, hesabuni minara yake;
Andai ao redor de Sião, e a circundai; contai suas torres.
13 yatafakarini vyema maboma yake, angalieni ngome zake, ili mpate kusimulia habari zake kwa kizazi kijacho.
Ponde vosso coração em seus muros de defesa, prestai atenção em seus palácios, para que conteis deles à geração seguinte.
14 Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; atakuwa kiongozi wetu hata mwisho.
Porque este Deus [é] nosso Deus para todo o sempre; ele nos acompanhará até a morte.

< Zaburi 48 >