< Zaburi 48 >

1 Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu, mlima wake mtakatifu.
Jabahinake t’Iehovà, vaho rengeñe mb’añ’abo; an-drovan’ Añaharen-tikañe, i vohi’e miavakey.
2 Ni mzuri katika kuinuka kwake juu sana, furaha ya dunia yote. Kama vilele vya juu sana vya Safoni ni Mlima Sayuni, mji wa Mfalme Mkuu.
Fanjàka an-toe’e eo, ty hafalea’ ty tane toy, ty vohi’ i Tsiône añ’ila’e avaratse ey, ty rova’ i Mpanjaka hinakinakey.
3 Mungu yuko katika ngome zake; amejionyesha mwenyewe kuwa ngome yake.
I Andrianañahare an-kijoli’ey, ty nampandrèndreke t’ie ro fipalirañe.
4 Wakati wafalme walipounganisha nguvu, waliposonga mbele pamoja,
Hehe, nifanontoñe o mpanjakao, nitrao-pionjoñe mb’etoañe,
5 walimwona nao wakashangaa, wakakimbia kwa hofu.
Nioni’ iereo; le nilatsa; nange­traketrake, vaho nitriban-day.
6 Kutetemeka kuliwashika huko, maumivu kama ya mwanamke mwenye utungu wa kuzaa.
Namihiñe iareo ty fihondrahondra, ninivonivotse hoe ampela mitsongo.
7 Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi zilizovunjwa na upepo wa mashariki.
I tiok’ atiñanañey ty ampivaletrahe’o o lakam-bein-Tarsiseo.
8 Kama tulivyokuwa tumesikia, ndivyo tulivyoona katika mji wa Bwana Mwenye Nguvu Zote, katika mji wa Mungu wetu: Mungu ataufanya uwe salama milele.
Hambañe amy jinanjin-tikañey ty nionin-tika an-drova’ Iehovà’ i Màroy, an-drovan’ Añaharentikañe ao; ee t’ie hajadon’ Añahare tsy ho modo nainai’ey. Selà
9 Ee Mungu, hekaluni mwako tunatafakari upendo wako usiokoma.
Nitsakorea’ay ty fiferenaiña’o ry Andrianañahare añivo’ i anjomba’o miavakey.
10 Ee Mungu, kama jina lako lilivyo, sifa zako zinafika hadi miisho ya dunia, mkono wako wa kuume umejazwa na haki.
Manahake i tahina’oy ry Andrianañahare, ty fandrengeañe Azo, pak’ añ’olo’ ty tane toy; lifo-kavantañañe ty fità’o havana.
11 Mlima Sayuni unashangilia, vijiji vya Yuda vinafurahi kwa sababu ya hukumu zako.
Ampifaleo i vohitse Tsiôney, ampirebeho o anak’ ampela’ Iehodào ty amo fizakà’oo.
12 Tembeeni katika Sayuni, uzungukeni mji, hesabuni minara yake;
Mañariaria amy Tsiône, ikariokarioho, volilio o fitilik-abo’eo,
13 yatafakarini vyema maboma yake, angalieni ngome zake, ili mpate kusimulia habari zake kwa kizazi kijacho.
Hehe o kijoli’eo, rangao o fitalakesañ’abo’eo; hahatalilia’o i tariratse mandimbey.
14 Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; atakuwa kiongozi wetu hata mwisho.
Izay t’i Andrianañahare, Andrianañaharen-tikañey, nainai’e donia. Ie ty hiaolo antikañe pak’an-kavilasy.

< Zaburi 48 >