< Zaburi 48 >
1 Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu, mlima wake mtakatifu.
Nzembo ya bana ya Kore. Yawe azali monene mpe abongi na lokumu, kati na engumba ya Nzambe na biso, ngomba na Ye ya bule.
2 Ni mzuri katika kuinuka kwake juu sana, furaha ya dunia yote. Kama vilele vya juu sana vya Safoni ni Mlima Sayuni, mji wa Mfalme Mkuu.
Ezali kitoko, ngomba moke oyo esalaka esengo ya mokili mobimba, ngomba Siona! Ngambo na yango ya Nor nde ezali engumba ya Mokonzi Monene.
3 Mungu yuko katika ngome zake; amejionyesha mwenyewe kuwa ngome yake.
Nzambe azali kati na bandako na yango ya bokonzi, amimonisi lokola ndako batonga makasi.
4 Wakati wafalme walipounganisha nguvu, waliposonga mbele pamoja,
Pamba te bakonzi basanganaki, batambolaki nzela moko.
5 walimwona nao wakashangaa, wakakimbia kwa hofu.
Kasi tango kaka bamonaki yango, bakamwaki mpe bakimaki na somo.
6 Kutetemeka kuliwashika huko, maumivu kama ya mwanamke mwenye utungu wa kuzaa.
Mbala moko, bakomaki kolenga wana lokola mwasi oyo azali na pasi ya kobota
7 Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi zilizovunjwa na upepo wa mashariki.
to lokola mopepe ya Este oyo apanzaka masuwa ya Tarsisi.
8 Kama tulivyokuwa tumesikia, ndivyo tulivyoona katika mji wa Bwana Mwenye Nguvu Zote, katika mji wa Mungu wetu: Mungu ataufanya uwe salama milele.
Ndenge kaka bayebisaki biso, ndenge mpe tomonaki kati na engumba ya Yawe, Mokonzi ya mampinga, kati na engumba ya Nzambe na biso; Nzambe alendisaka yango seko na seko.
9 Ee Mungu, hekaluni mwako tunatafakari upendo wako usiokoma.
Nzambe, kati na Tempelo na Yo, tokanisaka bolingo na Yo.
10 Ee Mungu, kama jina lako lilivyo, sifa zako zinafika hadi miisho ya dunia, mkono wako wa kuume umejazwa na haki.
Nzambe, lokumu na Yo epanzani kino na suka ya mokili, ndenge moko na Kombo na Yo; loboko na Yo ya mobali etondi na bosembo.
11 Mlima Sayuni unashangilia, vijiji vya Yuda vinafurahi kwa sababu ya hukumu zako.
Ngomba ya Siona ezali kosepela, bamboka ya Yuda etondi na esengo mpo na mikano na Yo.
12 Tembeeni katika Sayuni, uzungukeni mji, hesabuni minara yake;
Botambola pembeni ya Siona, bokende zingazinga na yango, botanga bandako na yango ya milayi.
13 yatafakarini vyema maboma yake, angalieni ngome zake, ili mpate kusimulia habari zake kwa kizazi kijacho.
Botala lopango na yango, botala malamu bandako na yango mpo ete bopesa sango epai ya bato oyo bakoya na sima.
14 Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; atakuwa kiongozi wetu hata mwisho.
Pamba te Nzambe wana azali Nzambe na biso seko na seko mpe libela na libela; akotambolisa biso, ezala kino na kufa.