< Zaburi 48 >

1 Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu, mlima wake mtakatifu.
Cantique de Psaume, des enfants de Coré. L'Eternel est grand, et fort louable en la ville de notre Dieu, en la montagne de sa Sainteté.
2 Ni mzuri katika kuinuka kwake juu sana, furaha ya dunia yote. Kama vilele vya juu sana vya Safoni ni Mlima Sayuni, mji wa Mfalme Mkuu.
Le plus beau de la contrée, la joie de toute la terre, c'est la montagne de Sion au fond de l'Aquilon; c'est la ville du grand Roi.
3 Mungu yuko katika ngome zake; amejionyesha mwenyewe kuwa ngome yake.
Dieu est connu en ses palais pour une haute retraite.
4 Wakati wafalme walipounganisha nguvu, waliposonga mbele pamoja,
Car voici, les Rois s'étaient donné assignation, ils avaient passé outre tous ensemble.
5 walimwona nao wakashangaa, wakakimbia kwa hofu.
L'ont-ils vue? ils en ont été aussitôt étonnés; ils ont été tout troublés, ils s'en sont fuis à l'étourdie.
6 Kutetemeka kuliwashika huko, maumivu kama ya mwanamke mwenye utungu wa kuzaa.
Là le tremblement les a saisis, [et] une douleur comme de celle qui enfante.
7 Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi zilizovunjwa na upepo wa mashariki.
[Ils ont été chassés comme] par le vent d'Orient [qui] brise les navires de Tarsis.
8 Kama tulivyokuwa tumesikia, ndivyo tulivyoona katika mji wa Bwana Mwenye Nguvu Zote, katika mji wa Mungu wetu: Mungu ataufanya uwe salama milele.
Comme nous l'avions entendu, ainsi l'avons-nous vu dans la ville de l'Eternel des armées, dans la ville de notre Dieu, laquelle Dieu maintiendra à toujours; (Sélah)
9 Ee Mungu, hekaluni mwako tunatafakari upendo wako usiokoma.
Ô Dieu! nous avons entendu ta gratuité au milieu de ton Temple.
10 Ee Mungu, kama jina lako lilivyo, sifa zako zinafika hadi miisho ya dunia, mkono wako wa kuume umejazwa na haki.
Ô Dieu! tel qu'est ton Nom, telle [est] ta louange jusqu'aux bouts de la terre; ta droite est pleine de justice.
11 Mlima Sayuni unashangilia, vijiji vya Yuda vinafurahi kwa sababu ya hukumu zako.
La montagne de Sion se réjouira, et les filles de Juda auront de la joie, à cause de tes jugements.
12 Tembeeni katika Sayuni, uzungukeni mji, hesabuni minara yake;
Environnez Sion, et l'entourez, [et] comptez ses tours.
13 yatafakarini vyema maboma yake, angalieni ngome zake, ili mpate kusimulia habari zake kwa kizazi kijacho.
Prenez bien garde à son avant-mur, et considérez ses palais; afin que vous le racontiez à la génération à venir.
14 Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; atakuwa kiongozi wetu hata mwisho.
Car c'est le Dieu qui est notre Dieu à toujours et à perpétuité; il nous accompagnera jusques à la mort.

< Zaburi 48 >