< Zaburi 48 >
1 Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu, mlima wake mtakatifu.
Pjesma. Psalam. Sinova Korahovih. Velik je Jahve, hvale predostojan u gradu Boga našega.
2 Ni mzuri katika kuinuka kwake juu sana, furaha ya dunia yote. Kama vilele vya juu sana vya Safoni ni Mlima Sayuni, mji wa Mfalme Mkuu.
Sveto brdo njegovo, brijeg veličanstven, radost je zemlji svoj. Gora Sion, na krajnjem sjeveru, grad je Kralja velikog.
3 Mungu yuko katika ngome zake; amejionyesha mwenyewe kuwa ngome yake.
Bog u kulama njegovim jakom se pokaza utvrdom.
4 Wakati wafalme walipounganisha nguvu, waliposonga mbele pamoja,
Jer gle, složiše se kraljevi, navališe zajedno.
5 walimwona nao wakashangaa, wakakimbia kwa hofu.
Čim vidješe, zapanjiše se i zbunjeni u bijeg nagnuše.
6 Kutetemeka kuliwashika huko, maumivu kama ya mwanamke mwenye utungu wa kuzaa.
Ondje ih trepet obuze kao muka porodilje,
7 Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi zilizovunjwa na upepo wa mashariki.
kao kad vjetar istočni razbija brodove taršiške.
8 Kama tulivyokuwa tumesikia, ndivyo tulivyoona katika mji wa Bwana Mwenye Nguvu Zote, katika mji wa Mungu wetu: Mungu ataufanya uwe salama milele.
Što smo čuli, sada vidimo: grad Jahve nad Vojskama, grad Boga našega - Bog ga utvrdi dovijeka.
9 Ee Mungu, hekaluni mwako tunatafakari upendo wako usiokoma.
Spominjemo se, Bože, tvoje dobrote usred Hrama tvojega.
10 Ee Mungu, kama jina lako lilivyo, sifa zako zinafika hadi miisho ya dunia, mkono wako wa kuume umejazwa na haki.
Kao ime tvoje, Bože, tako i slava tvoja do nakraj zemlje doseže. Puna je pravde desnica tvoja; neka se raduje brdo sionsko!
11 Mlima Sayuni unashangilia, vijiji vya Yuda vinafurahi kwa sababu ya hukumu zako.
Neka kliču gradovi Judini zbog tvojih sudova!
12 Tembeeni katika Sayuni, uzungukeni mji, hesabuni minara yake;
Obiđite Sion i prođite njime, prebrojite kule njegove!
13 yatafakarini vyema maboma yake, angalieni ngome zake, ili mpate kusimulia habari zake kwa kizazi kijacho.
Pogledajte dobro bedeme njegove, promotrite mu potanko dvorove: da biste kazivali budućem koljenu:
14 Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; atakuwa kiongozi wetu hata mwisho.
“Takav je Bog, Bog naš zasvagda i dovijeka! On neka nas vodi!”