< Zaburi 48 >

1 Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu, mlima wake mtakatifu.
Hina Gode da bagadedafa. Amola Ema baligiliwane nodomu da defea. Ea Moilai Bai Bagade amola Ea sema agolo amogai Ema baligiliwane nodomu da defea.
2 Ni mzuri katika kuinuka kwake juu sana, furaha ya dunia yote. Kama vilele vya juu sana vya Safoni ni Mlima Sayuni, mji wa Mfalme Mkuu.
Gode Ea Goumi amo Saione, da gadodafa amola ida: iwanedafa gala. Hina Bagadedafa Ea Moilai Bai Bagade da osobo bagade fifi asi gala dunu huluane ilima hahawane hou iaha.
3 Mungu yuko katika ngome zake; amejionyesha mwenyewe kuwa ngome yake.
Gode da Ea gagili sali Moilai Bai Bagade amo ganodini esala. Amola nowa da amo ganodini E gilisili esalea, amo dunu da gaga: su ba: mu. Gode da amo hou olelei dagoi.
4 Wakati wafalme walipounganisha nguvu, waliposonga mbele pamoja,
Osobo bagade hina bagade dunu da gilisili, Saione Goumi doagala: musa: misi.
5 walimwona nao wakashangaa, wakakimbia kwa hofu.
Be ilia da amo ba: loba, fofogadigili, bagade beda: i. Beda: iba: le, ilia hobea: i dagoi.
6 Kutetemeka kuliwashika huko, maumivu kama ya mwanamke mwenye utungu wa kuzaa.
Uda da mano lalelegemu gadenesea se nabasu amo defele, amola dusagai bagade hano wayabo bagade ahoanoba, mulu amo ganodini gigiwigisu defele, ilia beda: i bagade amola se nabi dagoi.
7 Uliwaangamiza kama meli za Tarshishi zilizovunjwa na upepo wa mashariki.
8 Kama tulivyokuwa tumesikia, ndivyo tulivyoona katika mji wa Bwana Mwenye Nguvu Zote, katika mji wa Mungu wetu: Mungu ataufanya uwe salama milele.
Ninia da Gode Ea hamobe amo ninia gega nabi dagoi. Amola wali ninia da ninia Hina Gode Bagadedafa Ea Moilai Bai Bagade amo ganodini Ea hamobe ninia siga ba: i dagoi. E da Ea Moilai Bai Bagade mae fisili gaga: lalumu.
9 Ee Mungu, hekaluni mwako tunatafakari upendo wako usiokoma.
Gode! Ninia da Dia Debolo Diasu ganodini Dia maedafa fisili asigidafa hou amo dawa: lala.
10 Ee Mungu, kama jina lako lilivyo, sifa zako zinafika hadi miisho ya dunia, mkono wako wa kuume umejazwa na haki.
Osobo bagade fifi asi gala dunu huluanedafa da Dia hou dawa: Amola amoba: le nodosa. Bai Di da moloidafawane ouligilala.
11 Mlima Sayuni unashangilia, vijiji vya Yuda vinafurahi kwa sababu ya hukumu zako.
Saione esalebe dunu ilia da hahawane ba: mu da defea. Bai Dia da moloidafa fofada: su hamosa. Yuda moilai ganodini amo hahawane hou dialumu da defea.
12 Tembeeni katika Sayuni, uzungukeni mji, hesabuni minara yake;
Gode Ea fi dunu, dilia! Saione Moilai Bai Bagade sisiga: le ahoa gagagula heda: le gagai diasu amo idima!
13 yatafakarini vyema maboma yake, angalieni ngome zake, ili mpate kusimulia habari zake kwa kizazi kijacho.
Fa: no fifi mabe ilima olelemusa: , dobea fei amola gagili gagoi amo abodema. Bai dilia da fa: no fifi mabe ilima amane sia: ma: ne,
14 Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; atakuwa kiongozi wetu hata mwisho.
“Goe Gode da ninia Gode. E da eso huluane esalalalumu. E eso huluane mae fisili, nini bisili ouligilalumu.”

< Zaburi 48 >