< Zaburi 47 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora. Pigeni makofi, enyi mataifa yote, mpigieni Mungu kelele za shangwe!
Dakayo amin a tattao, ipalakpakyo dagiti imayo; ipukkawyo iti Dios ti timek ti balligi.
2 Jinsi gani alivyo wa kutisha, Bwana Aliye Juu Sana, Mfalme mkuu juu ya dunia yote!
Ta ni Yahweh a Kangangatoan ket nakaam-mak; naindaklan isuna nga Ari iti entero a daga.
3 Ametiisha mataifa chini yetu watu wengi chini ya miguu yetu.
Parukmaenna dagiti tattao iti babaentayo ken dagiti nasion iti sirok ti sakatayo.
4 Alituchagulia urithi wetu, fahari ya Yakobo, aliyempenda.
Pinilina ti tawidentayo, ti dayaw ni Jacob nga inayatna. (Selah)
5 Mungu amepaa kwa kelele za shangwe, Bwana kwa sauti za tarumbeta.
Nagpangato ti Dios a nabuyogan iti pukkaw, nagpangato ni Yahweh a napakuyogan iti uni ti trumpeta.
6 Mwimbieni Mungu sifa, imbeni sifa, mwimbieni sifa Mfalme wetu, imbeni sifa.
Agkantatayo kadagiti pammadayaw para iti Dios, kantaentayo dagiti pammadayaw, kantaentayo dagiti pammadayaw para iti Aritayo. Kantaentayo dagiti pammadayaw.
7 Kwa kuwa Mungu ni mfalme wa dunia yote, mwimbieni zaburi za sifa.
Ta ti Dios ti Ari iti entero a daga; kantaentayo dagiti pammadayaw nga addaan pannakaawat.
8 Mungu anatawala juu ya mataifa, Mungu ameketi juu ya kiti chake cha enzi kitakatifu.
Agari ti Dios kadagiti nasion; agtugtugaw iti nasantoan a tronona.
9 Wakuu wa mataifa wanakusanyika kama watu wa Mungu wa Abrahamu, kwa kuwa wafalme wa dunia ni mali ya Mungu; yeye ametukuka sana.
Dagiti prinsipe iti amin a tattao ket naummongda a kadua dagiti tattao ti Dios ni Abraham; ta ti salaknib ti lubong ket kukua ti Dios; maitan-ok isuna iti kasta unay.

< Zaburi 47 >