< Zaburi 46 >
1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora. Mtindo wa alamothi. Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu, msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso.
Jusqu'à la Fin. Des fils de Koré, un psaume au sujet de choses cachées. O Dieu, notre force et notre refuge, tu es notre champion dans les afflictions qui nous ont violemment assaillis;
2 Kwa hiyo hatutaogopa, hata kama dunia ikiondolewa nayo milima ikiangukia moyoni mwa bahari.
Aussi nous ne craindrions pas, quand même la terre serait bouleversée, quand même les montagnes seraient transportées au sein des mers.
3 Hata kama maji yake yatanguruma na kuumuka, milima nayo ikitetemeka kwa mawimbi yake.
Leurs eaux ont retenti, et elles ont été troublées; les montagnes ont été ébranlées par sa force.
4 Kuna mto ambao vijito vyake vinaufurahisha mji wa Mungu, mahali patakatifu ambako Aliye Juu Sana anaishi.
L'eau courante du fleuve réjouit la cité de Dieu; le Très-Haut a sanctifié son tabernacle.
5 Mungu yuko katikati yake, hautaanguka, Mungu atausaidia asubuhi na mapema.
Dieu est au milieu de sa cité, elle ne sera point ébranlée; Dieu la défendra par sa face.
6 Mataifa yanafanya ghasia, falme zinaanguka, Yeye huinua sauti yake, dunia ikayeyuka.
Les nations ont été troublées, les royaumes ont chancelé; il a élevé la voix, et la terre a tremblé.
7 Bwana Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi, Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.
Le Dieu des armées est avec nous; le Dieu de Jacob est notre refuge.
8 Njooni mkaone kazi za Bwana jinsi alivyofanya ukiwa katika nchi.
Venez, et voyez les œuvres du Seigneur, les prodiges qu'il a faits sur la terre.
9 Anakomesha vita hata miisho ya dunia, anakata upinde na kuvunjavunja mkuki, anateketeza ngao kwa moto.
Mettant fin à la guerre jusqu'aux limites de la terre, il brisera l'arc, il broiera l'armure, il brûlera les boucliers dans le feu.
10 “Tulieni, mjue ya kwamba mimi ndimi Mungu; nitatukuzwa katikati ya mataifa, nitatukuzwa katika dunia.”
Restez en paix, et voyez que je suis Dieu. Je serai glorifié parmi les nations; je serai exalté sur la terre.
11 Bwana Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.
Le Seigneur des armées est avec nous; le Dieu de Jacob est notre refuge.