< Zaburi 46 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora. Mtindo wa alamothi. Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu, msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso.
to/for to conduct to/for son: descendant/people Korah upon Alamoth song God to/for us refuge and strength help in/on/with distress to find much
2 Kwa hiyo hatutaogopa, hata kama dunia ikiondolewa nayo milima ikiangukia moyoni mwa bahari.
upon so not to fear in/on/with to change land: country/planet and in/on/with to shake mountain: mount in/on/with heart sea
3 Hata kama maji yake yatanguruma na kuumuka, milima nayo ikitetemeka kwa mawimbi yake.
to roar to aggitate water his to shake mountain: mount in/on/with pride his (Selah)
4 Kuna mto ambao vijito vyake vinaufurahisha mji wa Mungu, mahali patakatifu ambako Aliye Juu Sana anaishi.
river stream his to rejoice city God holy tabernacle Most High
5 Mungu yuko katikati yake, hautaanguka, Mungu atausaidia asubuhi na mapema.
God in/on/with entrails: among her not to shake to help her God to/for to turn morning
6 Mataifa yanafanya ghasia, falme zinaanguka, Yeye huinua sauti yake, dunia ikayeyuka.
to roar nation to shake kingdom to give: cry out in/on/with voice his to melt land: country/planet
7 Bwana Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi, Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.
LORD Hosts with us high refuge to/for us God Jacob (Selah)
8 Njooni mkaone kazi za Bwana jinsi alivyofanya ukiwa katika nchi.
to go: come! to see deed LORD which to set: put horror: destroyed in/on/with land: country/planet
9 Anakomesha vita hata miisho ya dunia, anakata upinde na kuvunjavunja mkuki, anateketeza ngao kwa moto.
to cease battle till end [the] land: country/planet bow to break and to cut spear cart to burn in/on/with fire
10 “Tulieni, mjue ya kwamba mimi ndimi Mungu; nitatukuzwa katikati ya mataifa, nitatukuzwa katika dunia.”
to slacken and to know for I God to exalt in/on/with nation to exalt in/on/with land: country/planet
11 Bwana Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.
LORD Hosts with us high refuge to/for us God Jacob (Selah)

< Zaburi 46 >