< Zaburi 46 >
1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora. Mtindo wa alamothi. Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu, msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso.
Til Sangmesteren. Af Koras Sønner. Al-alamot. En Sang.
2 Kwa hiyo hatutaogopa, hata kama dunia ikiondolewa nayo milima ikiangukia moyoni mwa bahari.
Gud er vor Tilflugt og Styrke, en Hjælp i Angster, prøvet til fulde.
3 Hata kama maji yake yatanguruma na kuumuka, milima nayo ikitetemeka kwa mawimbi yake.
Derfor frygter vi ikke, om Jorden end bølger og Bjergene styrter i Havenes Skød,
4 Kuna mto ambao vijito vyake vinaufurahisha mji wa Mungu, mahali patakatifu ambako Aliye Juu Sana anaishi.
om end deres Vande bruser og syder og Bjergene skælver ved deres Vælde. (Sela)
5 Mungu yuko katikati yake, hautaanguka, Mungu atausaidia asubuhi na mapema.
En Flod og dens Bække glæder Guds Stad, den Højeste har helliget sin Bolig;
6 Mataifa yanafanya ghasia, falme zinaanguka, Yeye huinua sauti yake, dunia ikayeyuka.
i den er Gud, den rokkes ikke, Gud bringer den Hjælp, naar Morgen gryr.
7 Bwana Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi, Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.
Folkene larmed, Rigerne vakled, han løfted Røsten, saa Jorden skjalv,
8 Njooni mkaone kazi za Bwana jinsi alivyofanya ukiwa katika nchi.
Hærskarers HERRE er med os, Jakobs Gud er vor faste Borg. (Sela)
9 Anakomesha vita hata miisho ya dunia, anakata upinde na kuvunjavunja mkuki, anateketeza ngao kwa moto.
Kom hid og se paa HERRENS Værk, han har udført frygtelige Ting paa Jord.
10 “Tulieni, mjue ya kwamba mimi ndimi Mungu; nitatukuzwa katikati ya mataifa, nitatukuzwa katika dunia.”
Han gør Ende paa Krig til Jordens Grænser, han splintrer Buen, sønderbryder Spydene, Skjoldene tænder han i Brand.
11 Bwana Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.
Hold inde og kend, at jeg er Gud, ophøjet blandt Folkene, ophøjet paa Jorden! Hærskarers HERRE er med os, Jakobs Gud er vor faste Borg. (Sela)