< Zaburi 45 >
1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Yungiyungi.” Utenzi wa wana wa Kora. Wimbo wa arusi. Moyo wangu umesisimuliwa na jambo jema ninapomsimulia mfalme mabeti yangu; ulimi wangu ni kalamu ya mwandishi stadi.
Au maître-chantre. — Sur «les lis.» — Hymne des enfants de Goré. — Cantique nuptial. De mon coeur débordent des paroles excellentes. Je me dis: «Mon oeuvre est pour le roi!» Ma langue sera comme la plume d'un habile écrivain.
2 Wewe ni bora kuliko watu wengine wote na midomo yako imepakwa neema, kwa kuwa Mungu amekubariki milele.
Tu es beau, plus beau qu'aucun des fils des hommes. La grâce est répandue sur tes lèvres; C'est pourquoi Dieu t'a béni à jamais.
3 Jifunge upanga wako pajani mwako, ee mwenye nguvu, jivike fahari na utukufu.
Vaillant guerrier, ceins sur tes flancs ton épée, — Ta parure et ta magnificence,
4 Katika fahari yako, songa mbele kwa ushindi, kwa ajili ya kweli, unyenyekevu na haki, mkono wako wa kuume na uonyeshe matendo ya kutisha.
Oui, ta magnificence! — Cours à la victoire, monte sur ton char. Pour le triomphe de la vérité, de la clémence et de la justice. Que ta main droite te fasse accomplir des exploits redoutables!
5 Mishale yako mikali na ichome mioyo ya adui za mfalme, mataifa na yaanguke chini ya nyayo zako.
Tes flèches sont aiguës: Elles feront tomber les peuples sous tes pieds; Elles frapperont au coeur les ennemis du roi!
6 Ee Mungu, kiti chako cha enzi kitadumu milele na milele, fimbo ya utawala wa haki itakuwa fimbo ya utawala wa ufalme wako.
Ton trône, ô Dieu, est établi pour toujours, à perpétuité; Le sceptre de ta royauté est un sceptre de justice.
7 Unaipenda haki na kuchukia uovu; kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekuweka juu ya wenzako, kwa kukupaka mafuta ya furaha.
Tu aimes la justice et tu hais la méchanceté; C'est pourquoi, ô Dieu, ton Dieu t'a oint D'une huile d'allégresse, de préférence à tous tes égaux.
8 Mavazi yako yote yana harufu nzuri ya manemane, udi na mdalasini; kutoka kwenye majumba ya kifalme yaliyopambwa kwa pembe za ndovu, sauti za vinanda vya nyuzi zinakufanya ufurahi.
La myrrhe, l'aloès et la casse parfument tous tes vêtements; Dans les palais d'ivoire, le jeu des instruments te réjouit.
9 Binti za wafalme ni miongoni mwa wanawake wako waheshimiwa; kuume kwako yupo bibi arusi malkia aliyevaa dhahabu ya Ofiri.
Des filles de rois sont parmi tes dames d'honneur; A ta droite se tient la reine, parée de l'or d'Ophir.
10 Sikiliza, ewe binti, fikiri na utege sikio: Sahau watu wako na nyumba ya baba yako.
Écoute, ma fille, vois et prête l'oreille; Oublie ton peuple et la maison de ton père.
11 Mfalme ameshangazwa na uzuri wako; mheshimu, kwa kuwa yeye ni bwana wako.
Le roi désire pour lui ta beauté; Puisqu'il est ton seigneur, prosterne-toi devant lui.
12 Binti wa Tiro atakuletea zawadi, watu wenye utajiri watatafuta upendeleo wako.
La fille de Tyr, chargée de présents, Ainsi que les plus riches du peuple, Viendront te rendre hommage.
13 Utukufu wote una binti mfalme katika chumba chake; vazi lake limefumwa kwa nyuzi za dhahabu.
Elle s'avance rayonnante de gloire, la fille du roi; Son vêtement est tissé d'or.
14 Anaongozwa kwa mfalme, akiwa amevalia mavazi yaliyotariziwa, mabikira wenzake wanamfuata na wanaletwa kwako.
Elle est présentée au roi, revêtue d'habits brodés. A sa suite, des vierges, ses compagnes, Sont amenées en sa présence.
15 Wanaingizwa ndani kwa shangwe na furaha, na kuingia katika jumba la mfalme.
Elles sont introduites, Au milieu des chants de joie et d'allégresse; Elles entrent dans le palais du roi.
16 Wana wenu watachukua nafasi za baba zenu, mtawafanya wakuu katika nchi yote.
Tes fils, ô roi, occuperont la place de tes pères; Tu les établiras princes sur toute la terre.
17 Nitadumisha kumbukumbu lako katika vizazi vyote, kwa hiyo mataifa watakusifu milele na milele.
Je rendrai ton nom célèbre dans tous les âges; Aussi les peuples te loueront-ils éternellement, à perpétuité.