< Zaburi 45 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Yungiyungi.” Utenzi wa wana wa Kora. Wimbo wa arusi. Moyo wangu umesisimuliwa na jambo jema ninapomsimulia mfalme mabeti yangu; ulimi wangu ni kalamu ya mwandishi stadi.
To the ouercomere for the lilies, the most loued song of lernyng of the sones of Chore. Myn herte hath teld out a good word; Y seie my workis `to the kyng. Mi tunge is `a penne of a writere; writynge swiftli.
2 Wewe ni bora kuliko watu wengine wote na midomo yako imepakwa neema, kwa kuwa Mungu amekubariki milele.
Crist, thou art fairer in schap than the sones of men; grace is spred abrood in thi lippis; therfor God blessid thee withouten ende.
3 Jifunge upanga wako pajani mwako, ee mwenye nguvu, jivike fahari na utukufu.
Be thou gird with thi swerd; on thi hipe most myytili.
4 Katika fahari yako, songa mbele kwa ushindi, kwa ajili ya kweli, unyenyekevu na haki, mkono wako wa kuume na uonyeshe matendo ya kutisha.
Biholde thou in thi schaplynesse and thi fairnesse; come thou forth with prosperite, and regne thou. For treuthe, and myldenesse, and riytfulnesse; and thi riyt hond schal lede forth thee wondurfuli.
5 Mishale yako mikali na ichome mioyo ya adui za mfalme, mataifa na yaanguke chini ya nyayo zako.
Thi scharpe arowis schulen falle in to the hertis of the enemyes of the kyng; puplis schulen be vndur thee.
6 Ee Mungu, kiti chako cha enzi kitadumu milele na milele, fimbo ya utawala wa haki itakuwa fimbo ya utawala wa ufalme wako.
God, thi seete is in to the world of world; the yerde of thi rewme is a yerde of riyt reulyng, `ethir of equite.
7 Unaipenda haki na kuchukia uovu; kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekuweka juu ya wenzako, kwa kukupaka mafuta ya furaha.
Thou louedist riytfulnesse, and hatidist wickidnesse; therfor thou, God, thi God, anoyntide thee with the oile of gladnesse, more than thi felowis.
8 Mavazi yako yote yana harufu nzuri ya manemane, udi na mdalasini; kutoka kwenye majumba ya kifalme yaliyopambwa kwa pembe za ndovu, sauti za vinanda vya nyuzi zinakufanya ufurahi.
Mirre, and gumme, and cassia, of thi clothis, of the `housis yuer;
9 Binti za wafalme ni miongoni mwa wanawake wako waheshimiwa; kuume kwako yupo bibi arusi malkia aliyevaa dhahabu ya Ofiri.
of whiche the douytris of kyngis delitiden thee. A queen stood nyy on thi riyt side in clothing ouergildid; cumpassid with dyuersitee.
10 Sikiliza, ewe binti, fikiri na utege sikio: Sahau watu wako na nyumba ya baba yako.
Douyter, here thou, and se, and bowe doun thin eere; and foryete thi puple, and the hows of thi fadir.
11 Mfalme ameshangazwa na uzuri wako; mheshimu, kwa kuwa yeye ni bwana wako.
And the kyng schal coueyte thi fairnesse; for he is thi Lord God, and thei schulen worschipe hym.
12 Binti wa Tiro atakuletea zawadi, watu wenye utajiri watatafuta upendeleo wako.
And the douytris of Tire in yiftis; alle the riche men of the puple schulen biseche thi cheer.
13 Utukufu wote una binti mfalme katika chumba chake; vazi lake limefumwa kwa nyuzi za dhahabu.
Al the glorye of that douyter of the kyng is with ynne in goldun hemmes;
14 Anaongozwa kwa mfalme, akiwa amevalia mavazi yaliyotariziwa, mabikira wenzake wanamfuata na wanaletwa kwako.
sche is clothid aboute with dyuersitees. Virgyns schulen be brouyt to the kyng aftir hir; hir neiyboressis schulen be brouyt to thee.
15 Wanaingizwa ndani kwa shangwe na furaha, na kuingia katika jumba la mfalme.
Thei schulen be brouyt in gladnesse, and ful out ioiyng; thei schulen be brouyt in to the temple of the kyng.
16 Wana wenu watachukua nafasi za baba zenu, mtawafanya wakuu katika nchi yote.
Sones ben borun to thee, for thi fadris; thou schalt ordeyne hem princes on al erthe.
17 Nitadumisha kumbukumbu lako katika vizazi vyote, kwa hiyo mataifa watakusifu milele na milele.
Lord, thei schulen be myndeful of thi name; in ech generacioun, and in to generacioun. Therfor puplis schulen knouleche to thee withouten ende; and in to the world of world.

< Zaburi 45 >