< Zaburi 45 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Yungiyungi.” Utenzi wa wana wa Kora. Wimbo wa arusi. Moyo wangu umesisimuliwa na jambo jema ninapomsimulia mfalme mabeti yangu; ulimi wangu ni kalamu ya mwandishi stadi.
Kathutkung: Korah capanaw Ka lungthin heh hnokahawi hoi a poum teh, Siangpahrang kong hah ka dei han. Ka lai teh ca kathutkung e cacung patetlah coungkacoe ao.
2 Wewe ni bora kuliko watu wengine wote na midomo yako imepakwa neema, kwa kuwa Mungu amekubariki milele.
Nang teh tami capanaw hlak na mei ahawihnawn. Na pahni dawk pahrennae awi lah ao. Hatdawkvah, Cathut ni yawhawi pou na poe.
3 Jifunge upanga wako pajani mwako, ee mwenye nguvu, jivike fahari na utukufu.
Oe athakaawme, na bawilennae hoi na taluenae hoi, na tahloi teh na keng dawk kâyeng haw.
4 Katika fahari yako, songa mbele kwa ushindi, kwa ajili ya kweli, unyenyekevu na haki, mkono wako wa kuume na uonyeshe matendo ya kutisha.
Lawkkatang hoi kârahnoumnae hoi lannae kecu dawkvah, na taluenae hoi ka tânae lahoi marang dawk kâcui haw. Hottelah, aranglae kut hoi kângairu hnonaw hah na cangkhai han.
5 Mishale yako mikali na ichome mioyo ya adui za mfalme, mataifa na yaanguke chini ya nyayo zako.
Ka pasum e tahroe hoi siangpahrang e tarannaw e lung teh poukkayawng lah thun naseh. Na lungtabue dawk koung rawm awh naseh.
6 Ee Mungu, kiti chako cha enzi kitadumu milele na milele, fimbo ya utawala wa haki itakuwa fimbo ya utawala wa ufalme wako.
Oe Cathut, na bawitungkhung teh a yungyoe kangning e doeh. Lannae na sonron hai na ram sonron lah doeh ao.
7 Unaipenda haki na kuchukia uovu; kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekuweka juu ya wenzako, kwa kukupaka mafuta ya furaha.
Lannae hah lung na pataw teh, thoenae hah na hmuhma. Hatdawkvah, Cathut, na Cathut ni, satui hah na awi toe. Na huinaw hlak hai, konawmnae satui hah na awi toe.
8 Mavazi yako yote yana harufu nzuri ya manemane, udi na mdalasini; kutoka kwenye majumba ya kifalme yaliyopambwa kwa pembe za ndovu, sauti za vinanda vya nyuzi zinakufanya ufurahi.
Na khohna pueng dawk hoi murah hoi aloenaw hoi, khasia hmuitui a hmui teh, kasaino hoi pathoup e siangpahrang imnaw ni na lunghawi sak.
9 Binti za wafalme ni miongoni mwa wanawake wako waheshimiwa; kuume kwako yupo bibi arusi malkia aliyevaa dhahabu ya Ofiri.
Bari kaawm e napui na tawn e naw thung dawkvah, ramlouk siangpahrangnaw e canunaw hai a bawk teh, nange aranglah Ophir sui hoi kamthoup e siangpahrangnu teh a tahung.
10 Sikiliza, ewe binti, fikiri na utege sikio: Sahau watu wako na nyumba ya baba yako.
Oe, Canu thai haw, pouk nateh na hnâpakengh. Na taminaw hoi na pa im kaawm e naw hai pahnim haw.
11 Mfalme ameshangazwa na uzuri wako; mheshimu, kwa kuwa yeye ni bwana wako.
Hottelah pawiteh, siangpahrang ni na meihawinae hah a ngai katang han, ahni teh na bawipa doeh, bari haw.
12 Binti wa Tiro atakuletea zawadi, watu wenye utajiri watatafuta upendeleo wako.
Taire canu ni poehno sin vaiteh, tamimaya thung dawk hoi na tawnta e ni na minhmai hawi a tawng awh han.
13 Utukufu wote una binti mfalme katika chumba chake; vazi lake limefumwa kwa nyuzi za dhahabu.
Siangpahrang im e siangpahrang canu teh, a sungrenpoung teh, a khohna teh sui hoi pathoup e lah ao.
14 Anaongozwa kwa mfalme, akiwa amevalia mavazi yaliyotariziwa, mabikira wenzake wanamfuata na wanaletwa kwako.
Pathoup e hni kahawi kâkhu hoi siangpahrang koe cetkhai awh vaiteh, tanglakacuemnaw ama hnukkâbang hane naw hah ahni koe a thokhai awh han.
15 Wanaingizwa ndani kwa shangwe na furaha, na kuingia katika jumba la mfalme.
Lunghawi thahmeica lahoi thokhai awh vaiteh, siangpahrang im a kâen awh han.
16 Wana wenu watachukua nafasi za baba zenu, mtawafanya wakuu katika nchi yote.
Napanaw yueng lah na canaw awm awh vaiteh, ahnimouh teh talai van pueng dawk siangpahrang lah na o sak han.
17 Nitadumisha kumbukumbu lako katika vizazi vyote, kwa hiyo mataifa watakusifu milele na milele.
Na min teh se pueng dawk panue hanelah ka sak han. Hatdawkvah, tami ni pou na pholen han.

< Zaburi 45 >