< Zaburi 43 >

1 Ee Mungu unihukumu, nitetee dhidi ya taifa lisilomcha Mungu, niokoe na watu wadanganyifu na waovu.
Ukomennak, O Dios, ken ipakaasim ti kalintegak kadagiti saan a nadiosan a nasion;
2 Wewe ni Mungu ngome yangu. Kwa nini umenikataa? Kwa nini niendelee kuomboleza, nikiwa nimeonewa na adui?
Ta sika ti Dios ti pigsak; apay nga imbellengnak? Apay nga agdung-awak iti panangparigat dagiti kabusor?
3 Tuma hima nuru yako na kweli yako na viniongoze; vinilete mpaka mlima wako mtakatifu, mpaka mahali unapoishi.
O, ibaonmo ti silawmo ken ti kinapudnom; idalandak koma; ipandak koma iti nasantoan a turodmo ken iti tabernakulom.
4 Ndipo nitakwenda madhabahuni pa Mungu, kwa Mungu, furaha yangu na shangwe yangu. Nitakusifu kwa kinubi, Ee Mungu, Mungu wangu.
Ket mapanakto iti altar ti Dios, iti Dios nga aglaplapusanan a rag-ok; ken iti arpa idaydayawkanto, O Dios, a Diosko.
5 Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka? Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu? Weka tumaini lako kwa Mungu, kwa sababu bado nitamsifu Mwokozi wangu na Mungu wangu.
Apay a nakadumogka, kararuak? Apay a maringgoranka iti kaunggak? Mangnamnamaka iti Dios; ta agdayawak pay kenkuana, nga isu ti tulong ken Diosko.

< Zaburi 43 >