< Zaburi 43 >

1 Ee Mungu unihukumu, nitetee dhidi ya taifa lisilomcha Mungu, niokoe na watu wadanganyifu na waovu.
Gode! Na da moloidafa dunu, amo Di sia: ma! Ogogole amola wadela: i hamosu dunu da nama diwaneya udidisa. Be Dia na gaga: ma.
2 Wewe ni Mungu ngome yangu. Kwa nini umenikataa? Kwa nini niendelee kuomboleza, nikiwa nimeonewa na adui?
Di da na gaga: su! Be Dia da abuliba: le na yolesila: ? Na da abuliba: le nama ha lai dunu ilia nimi bagade wadela: i hamobeba: le se nabawane esaloma: bela: ?
3 Tuma hima nuru yako na kweli yako na viniongoze; vinilete mpaka mlima wako mtakatifu, mpaka mahali unapoishi.
Dia dafawanedafa hou amola hadigi hou amoga Dia na oule ahoanoma: ne iasima! Dia na Dia sema agolo Saione amola Dia Debolo Diasu (amo ganodini Di da esala), amoga na bu oule misa!
4 Ndipo nitakwenda madhabahuni pa Mungu, kwa Mungu, furaha yangu na shangwe yangu. Nitakusifu kwa kinubi, Ee Mungu, Mungu wangu.
Amasea, Gode, na da Dia oloda amoga masunu. Bai Di fawane da na hahawane hou, amo ea bai gala. Gode, na Gode! Na da na sani baidama dumu amola Dima nodone gesami hea: mu.
5 Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka? Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu? Weka tumaini lako kwa Mungu, kwa sababu bado nitamsifu Mwokozi wangu na Mungu wangu.
Na da abuliba: le baligili da: i diobela: ? Na da abuliba: le dogo se nabawane esalala: ? Na da Godema dafawane hamoma: beyale dawa: mu. Na da bu enowane Ema nodone sia: mu. Bai E da na Gaga: sudafa amola na Godedafa.

< Zaburi 43 >