< Zaburi 42 >

1 Kwa mwimbishaji. Utenzi wa wana wa Kora. Kama vile ayala aoneavyo shauku vijito vya maji, ndivyo nafsi yangu ikuoneavyo shauku, Ee Mungu.
to/for to conduct Maskil to/for son: descendant/people Korah like/as deer to long for upon channel water so soul my to long for to(wards) you God
2 Nafsi yangu inamwonea Mungu kiu, Mungu aliye hai. Ni lini nitaweza kwenda kukutana na Mungu?
to thirst soul my to/for God to/for God alive how to come (in): come and to see: see face: before God
3 Machozi yangu yamekuwa chakula changu usiku na mchana, huku watu wakiniambia mchana kutwa, “Yuko wapi Mungu wako?”
to be to/for me tears my food by day and night in/on/with to say to(wards) me all [the] day where? God your
4 Mambo haya nayakumbuka ninapoimimina nafsi yangu: Jinsi nilivyokuwa nikienda na umati wa watu, nikiongoza maandamano kuelekea kwenye nyumba ya Mungu, kwa kelele za shangwe na za shukrani katikati ya umati uliosherehekea.
these to remember and to pour: pour upon me soul my for to pass in/on/with throng to go slowly them till house: temple God in/on/with voice cry and thanksgiving crowd to celebrate
5 Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka? Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu? Weka tumaini lako kwa Mungu, kwa sababu bado nitamsifu, Mwokozi wangu na
what? to bow soul my and to roar upon me to wait: hope to/for God for still to give thanks him salvation face of his
6 Mungu wangu. Nafsi yangu inasononeka ndani yangu; kwa hiyo nitakukumbuka kutoka nchi ya Yordani, katika vilele vya Hermoni, kutoka Mlima Mizari.
God my upon me soul my to bow upon so to remember you from land: country/planet Jordan and Hermon from mountain: mount (Mount) Mizar
7 Kilindi huita kilindi, katika ngurumo za maporomoko ya maji yako; mawimbi yako yote pamoja na viwimbi vimepita juu yangu.
abyss to(wards) abyss to call: call to to/for voice: sound water your all wave your and heap: wave your upon me to pass
8 Mchana Bwana huelekeza upendo wake, usiku wimbo wake uko nami: maombi kwa Mungu wa uzima wangu.
by day to command LORD kindness his and in/on/with night (song his *Q(K)*) with me prayer to/for God life my
9 Ninamwambia Mungu Mwamba wangu, “Kwa nini umenisahau? Kwa nini niendelee kuomboleza, nikiwa nimeonewa na adui?”
to say to/for God crag my to/for what? to forget me to/for what? be dark to go: went in/on/with oppression enemy
10 Mifupa yangu inateseka kwa maumivu makali adui zangu wanaponidhihaki, wakiniambia mchana kutwa, “Yuko wapi Mungu wako?”
in/on/with shattering in/on/with bone my to taunt me to vex me in/on/with to say they to(wards) me all [the] day where? God your
11 Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka? Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu? Weka tumaini lako kwa Mungu, kwa sababu bado nitamsifu, Mwokozi wangu na Mungu wangu.
what? to bow soul my and what? to roar upon me to wait: hope to/for God for still to give thanks him salvation face of my and God my

< Zaburi 42 >