< Zaburi 41 >
1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Heri mtu yule anayemjali mnyonge, Bwana atamwokoa wakati wa shida.
Načelniku godbe, psalm Davidov. Blagor mu, kdor se spominja siromaka, govoreč: O času nadloge bode ga otél Gospod.
2 Bwana atamlinda na kuyahifadhi maisha yake, atambariki katika nchi na hatamwacha katika tamaa ya adui zake.
Gospod ga bode rešil, ohranil življenju; srečen bode na zemlji, in ne izdajaj ga želji sovražnikov njegovih.
3 Bwana atamtegemeza awapo mgonjwa kitandani, atamwinua kutoka kitandani mwake.
Gospod naj ga podpira na postelji slabosti: vse ležišče njegovo vsled bolezni njegove preméni,
4 Nilisema, “Ee Bwana nihurumie, niponye, maana nimekutenda dhambi wewe.”
Ko govorim: Gospod, milost mi stóri, ozdravi dušo mojo, ker tebi sem grešil.
5 Adui zangu wanasema kwa hila, “Lini atakufa, na jina lake litokomee kabisa.”
Sovražniki moji so slabo govorili o meni: Kdaj bode umrl in bode izginilo ime njegovo?
6 Kila anapokuja mtu kunitazama, huzungumza uongo, huku moyo wake hukusanya masingizio; kisha huondoka na kuyasambaza huku na huko.
Ko je tedaj prihajal obiskat me kdó, govorilo je laž srce njegovo; zbiralo si je krivico: šel je ven in právil.
7 Adui zangu wote hunongʼonezana dhidi yangu, hao huniwazia mabaya sana, wakisema,
Vkup so šepetali zoper mene vsi sovražniki moji; zoper mene so izmišljali, kar bi mi bilo v zlo, govoreč:
8 “Ugonjwa mbaya sana umempata, kamwe hatainuka tena kitandani mwake.”
Stvar silno malopridna tiči v njem globoko, in ker leži, več ne vstane.
9 Hata rafiki yangu wa karibu niliyemwamini, yule aliyekula chakula changu ameniinulia kisigino chake.
Tudi mož, ki je živel v miru z menoj, v katerega sem zaupal, kateri je jedel mojo jed, vzdignil je peto proti meni.
10 Lakini wewe, Ee Bwana, nihurumie, ukaniinue tena, ili niweze kuwalipiza kisasi.
Ti pa, Gospod, storí mi milost, in zbúdi me, da jim povrnem.
11 Najua kwamba wapendezwa nami, kwa kuwa adui yangu hanishindi.
12 Katika uadilifu wangu unanitegemeza na kuniweka kwenye uwepo wako milele.
13 Msifuni Bwana, Mungu wa Israeli, tangu milele na hata milele.