< Zaburi 41 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Heri mtu yule anayemjali mnyonge, Bwana atamwokoa wakati wa shida.
Blago onome koji razumije ništemu! Gospod æe ga izbaviti u zli dan.
2 Bwana atamlinda na kuyahifadhi maisha yake, atambariki katika nchi na hatamwacha katika tamaa ya adui zake.
Gospod æe ga saèuvati i poživiæe ga; biæe blažen na zemlji. Neæeš ga dati na volju neprijateljima njegovijem.
3 Bwana atamtegemeza awapo mgonjwa kitandani, atamwinua kutoka kitandani mwake.
Gospod æe ga ukrijepiti bolna na odru. Sasvijem mijenjaš postelju njegovu u bolesti njegovoj.
4 Nilisema, “Ee Bwana nihurumie, niponye, maana nimekutenda dhambi wewe.”
Ja vièem: Gospode! smiluj se na me, iscijeli dušu moju, sagriješih ti.
5 Adui zangu wanasema kwa hila, “Lini atakufa, na jina lake litokomee kabisa.”
Neprijatelji moji govore zlobno za mene: “kad æe umrijeti, i ime njegovo poginuti?”
6 Kila anapokuja mtu kunitazama, huzungumza uongo, huku moyo wake hukusanya masingizio; kisha huondoka na kuyasambaza huku na huko.
I ako ko doðe da me vidi, laska; srce njegovo slaže u sebi nepravdu, i otišavši kazuje.
7 Adui zangu wote hunongʼonezana dhidi yangu, hao huniwazia mabaya sana, wakisema,
Šapæu o meni meðu sobom neprijatelji moji, i misle mi zlo:
8 “Ugonjwa mbaya sana umempata, kamwe hatainuka tena kitandani mwake.”
“Zla stvar doðe na njega, legao je; neæe više ustati.”
9 Hata rafiki yangu wa karibu niliyemwamini, yule aliyekula chakula changu ameniinulia kisigino chake.
I èovjek mira mojega, u kojega se uzdah, koji jeðaše hljeb moj, podiže na me petu.
10 Lakini wewe, Ee Bwana, nihurumie, ukaniinue tena, ili niweze kuwalipiza kisasi.
Ali ti, Gospode, smiluj se na me, i podigni me; a ja æu im vratiti.
11 Najua kwamba wapendezwa nami, kwa kuwa adui yangu hanishindi.
Po tome æu poznati da sam ti mio, ako se ne uzraduje neprijatelj moj nada mnom.
12 Katika uadilifu wangu unanitegemeza na kuniweka kwenye uwepo wako milele.
A mene cijela saèuvaj, i daj mi da stojim pred licem tvojim dovijeka.
13 Msifuni Bwana, Mungu wa Israeli, tangu milele na hata milele.
Blagosloven Bog Izrailjev od vijeka do vijeka. Amin, amin.

< Zaburi 41 >