< Zaburi 4 >

1 Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Daudi. Nijibu nikuitapo, Ee Mungu wangu mwenye haki! Nipumzishe katika shida zangu; nirehemu, usikie ombi langu.
Načelniku godbe na strune; psalm Davidov. Ko te kličem, usliši me, Bog pravice moje; v stiski dal si mi prostora; milosten mi bodi in poslušaj molitev mojo.
2 Enyi watu, mtabadilisha utukufu wangu kuwa aibu mpaka lini? Mtapenda udanganyifu na kufuata miungu ya uongo mpaka lini?
Sinovi človeški, doklej bodi slava moja v nečast? ljubili bodete ničnost? hodili za lažjo?
3 Fahamuni hakika kwamba Bwana amewatenga wale wamchao kwa ajili yake; Bwana atanisikia nimwitapo.
Spoznajte vendar, da si je Gospod posebe odbral njega, katerega prijazno sprejema; da bode uslišal Gospod, ko ga bodem zaklical.
4 Katika hasira yako, usitende dhambi. Mkiwa vitandani mwenu, mtulie kimya mkiichunguza mioyo yenu.
Prestrašite se in ne grešite; mislite v srci svojem, na ležišči svojem in mirujte!
5 Toeni dhabihu zilizo haki; mtegemeeni Bwana.
Darujte daritve pravice, in zaupanje imejte v Gospoda.
6 Wengi wanauliza, “Ni nani awezaye kutuonyesha jema lolote?” Ee Bwana, tuangazie nuru ya uso wako.
Mnogi govoré: O da bi vživali dobro! Dvigni nad nas svetlobo obličja svojega, Gospod!
7 Wewe umejaza moyo wangu kwa furaha kubwa kuliko watu waliopata nafaka na divai kwa wingi.
Vlij radost v srce moje, večjo nego o času, ko spravljajo žito svoje in vino svoje obilno.
8 Nitajilaza chini na kulala kwa amani, kwa kuwa wewe peke yako, Ee Bwana, waniwezesha kukaa kwa salama.
V miru ležem in zdajci zaspim; ker ti sam, Gospod, daješ, da prebivam brez skrbi.

< Zaburi 4 >