< Zaburi 4 >
1 Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Daudi. Nijibu nikuitapo, Ee Mungu wangu mwenye haki! Nipumzishe katika shida zangu; nirehemu, usikie ombi langu.
Dāvida dziesma. Dziedātāju vadonim uz koklēm. Kad es saucu, tad paklausi mani, Tu, manas taisnības Dievs; bēdās Tu mani esi iepriecinājis; esi man žēlīgs un paklausi manu lūgšanu.
2 Enyi watu, mtabadilisha utukufu wangu kuwa aibu mpaka lini? Mtapenda udanganyifu na kufuata miungu ya uongo mpaka lini?
Cilvēku bērni, cik ilgi mans gods paliks kaunā? Cik ilgi jūs mīlēsiet nīcīgas lietas un meklēsiet melus? (Sela)
3 Fahamuni hakika kwamba Bwana amewatenga wale wamchao kwa ajili yake; Bwana atanisikia nimwitapo.
Atzīstiet jel, ka Tas Kungs brīnišķi vadījis to, kas Viņu bīstas; Tas Kungs mani paklausa, kad es Viņu piesaucu.
4 Katika hasira yako, usitende dhambi. Mkiwa vitandani mwenu, mtulie kimya mkiichunguza mioyo yenu.
Dusmojiet, bet negrēkojiet, runājiet savā sirdī uz savām gultām un esiet klusu (Sela)
5 Toeni dhabihu zilizo haki; mtegemeeni Bwana.
Upurējiet taisnības upurus un paļaujaties uz To Kungu.
6 Wengi wanauliza, “Ni nani awezaye kutuonyesha jema lolote?” Ee Bwana, tuangazie nuru ya uso wako.
Daudzi saka: kas mums rādīs labumu? Pacel, ak Kungs, pār mums Sava vaiga gaišumu.
7 Wewe umejaza moyo wangu kwa furaha kubwa kuliko watu waliopata nafaka na divai kwa wingi.
Tu manai sirdij devis vairāk prieka nekā viņiem, kad tiem labības un vīna papilnam.
8 Nitajilaza chini na kulala kwa amani, kwa kuwa wewe peke yako, Ee Bwana, waniwezesha kukaa kwa salama.
Es apgulšos ar mieru un aizmigšu, jo Tu vien, Kungs dari, ka es droši dzīvoju.