< Zaburi 4 >
1 Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Daudi. Nijibu nikuitapo, Ee Mungu wangu mwenye haki! Nipumzishe katika shida zangu; nirehemu, usikie ombi langu.
Pour la fin, dans les cantiques, psaume de David. Lorsque je l’invoquais, il m’a exaucé, le Dieu de ma justice; dans la tribulation, vous m’avez mis au large. Ayez pitié de moi, et exaucez ma prière.
2 Enyi watu, mtabadilisha utukufu wangu kuwa aibu mpaka lini? Mtapenda udanganyifu na kufuata miungu ya uongo mpaka lini?
Fils des hommes, jusqu’à quand aurez-vous le cœur appesanti? pourquoi aimez-vous la vanité, et cherchez-vous le mensonge?
3 Fahamuni hakika kwamba Bwana amewatenga wale wamchao kwa ajili yake; Bwana atanisikia nimwitapo.
Sachez donc que le Seigneur a glorifié son saint: le Seigneur m’exaucera, lorsque je crierai vers lui.
4 Katika hasira yako, usitende dhambi. Mkiwa vitandani mwenu, mtulie kimya mkiichunguza mioyo yenu.
Irritez-vous et ne péchez pas; et ce que vous dites en vos cœurs, repassez-le sur vos lits avec componction.
5 Toeni dhabihu zilizo haki; mtegemeeni Bwana.
Offrez un sacrifice de justice, et espérez dans le Seigneur. Beaucoup disent: Qui nous montrera les biens qu’on nous promet?
6 Wengi wanauliza, “Ni nani awezaye kutuonyesha jema lolote?” Ee Bwana, tuangazie nuru ya uso wako.
La lumière de votre visage a été marquée sur nous, Seigneur; vous avez donné la joie à mon cœur.
7 Wewe umejaza moyo wangu kwa furaha kubwa kuliko watu waliopata nafaka na divai kwa wingi.
Ils ont eu en abondance le fruit de leur froment, de leur vin et de leur huile.
8 Nitajilaza chini na kulala kwa amani, kwa kuwa wewe peke yako, Ee Bwana, waniwezesha kukaa kwa salama.
Dans la paix je m’endormirai et je reposerai tout à la fois, Parce que vous, Seigneur, vous seul m’avez établi dans l’espérance.