< Zaburi 4 >

1 Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Daudi. Nijibu nikuitapo, Ee Mungu wangu mwenye haki! Nipumzishe katika shida zangu; nirehemu, usikie ombi langu.
to/for to conduct in/on/with music melody to/for David in/on/with to call: call to I to answer me God righteousness my in/on/with distress to enlarge to/for me be gracious me and to hear: hear prayer my
2 Enyi watu, mtabadilisha utukufu wangu kuwa aibu mpaka lini? Mtapenda udanganyifu na kufuata miungu ya uongo mpaka lini?
son: descendant/people man till what? glory my to/for shame to love: lover [emph?] vain to seek lie (Selah)
3 Fahamuni hakika kwamba Bwana amewatenga wale wamchao kwa ajili yake; Bwana atanisikia nimwitapo.
and to know for be distinguished LORD pious to/for him LORD to hear: hear in/on/with to call: call to I to(wards) him
4 Katika hasira yako, usitende dhambi. Mkiwa vitandani mwenu, mtulie kimya mkiichunguza mioyo yenu.
to tremble and not to sin to say in/on/with heart your upon bed your and to silence: silent (Selah)
5 Toeni dhabihu zilizo haki; mtegemeeni Bwana.
to sacrifice sacrifice righteousness and to trust to(wards) LORD
6 Wengi wanauliza, “Ni nani awezaye kutuonyesha jema lolote?” Ee Bwana, tuangazie nuru ya uso wako.
many to say who? to see: see us good to lift: kindness [emph?] upon us light face your LORD
7 Wewe umejaza moyo wangu kwa furaha kubwa kuliko watu waliopata nafaka na divai kwa wingi.
to give: put joy in/on/with heart my from time grain their and new wine their to multiply
8 Nitajilaza chini na kulala kwa amani, kwa kuwa wewe peke yako, Ee Bwana, waniwezesha kukaa kwa salama.
in/on/with peace together to lie down: lay down and to sleep for you(m. s.) LORD to/for isolation to/for security to dwell me

< Zaburi 4 >