< Zaburi 39 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi. Nilisema, “Nitaziangalia njia zangu na kuuzuia ulimi wangu usije ukatenda dhambi; nitaweka lijamu kinywani mwangu wakati wote waovu wanapokuwa karibu nami.”
Nai kan, pwe i ender wia dip ki lo i. I pan jali pena au ai arain en me japun o mi re i.
2 Lakini niliponyamaza kimya na kutulia, hata pasipo kusema lolote jema, uchungu wangu uliongezeka.
I kadukiedier ai lokaia o nenenlar o jolar inda duen peren a ai kalokolok lalaudalar.
3 Moyo wangu ulipata moto ndani yangu, nilipotafakari, moto uliwaka, ndipo nikasema kwa ulimi wangu:
Monion i karakaradar nan kapedi, o ma i pan tamanda mepukat, a rajon kijiniai lulada; i ap lokaia kida lo i.
4 “Ee Bwana, nijulishe mwisho wa maisha yangu na hesabu ya siku zangu; nijalie kujua jinsi maisha yangu yanavyopita upesi.
Main, kotin padaki on ia, me maur i pan imwijokela, o imwi pan ai ran akan, me i pan jamoer.
5 Umefanya maisha yangu mafupi kama pumzi; muda wangu wa kuishi ni kama hauna thamani kwako. Maisha ya kila mwanadamu ni kama pumzi.
Mani, ai ran akan dueta talap en pa en aramaj re omui; o maur i likamata jota meakot mo’mui. Melel aramaj, me kin keleki pein i, kin dueta adiniai.
6 Hakika kila binadamu ni kama njozi aendapo huku na huko: hujishughulisha na mengi lakini ni ubatili; anakusanya mali nyingi, wala hajui ni nani atakayeifaidi.
Re kin alialu jili rajon mota, re kin katoutouki pein irail dodok mal. Re kin nanak pena ap jaja, ij me pan naineki.
7 “Lakini sasa Bwana, nitafute nini? Tumaini langu ni kwako.
Ari Main, ij me i en auiaui? I kaporoporeki komui.
8 Niokoe kutoka kwenye makosa yangu yote, usinifanye kuwa dhihaka ya wapumbavu.
Dore ia la jan dip ai karoj, o kom der mueid on, me pweipwei kan en kaurur kin ia.
9 Nilinyamaza kimya, sikufumbua kinywa changu, kwa sababu wewe ndiwe uliyetenda hili.
I pan nenenla o jota jar pajan au ai, pwe kom kotin wiadar.
10 Niondolee mjeledi wako, nimeshindwa kwa mapigo ya mkono wako.
Kotin katukiedi omui kaloko ia; pwe nai dupok kilar ai kalokolok pan lim omui.
11 Unakemea na kuadhibu wanadamu kwa ajili ya dhambi zao; unaharibu utajiri wao kama nondo aharibuvyo: kila mwanadamu ni kama pumzi tu.
Ma kom pan kaloke amen pweki dip a, mom a kajelel ap pan juedala likamada man en mot kanala. O meid mal aramaj karoj!
12 “Ee Bwana, usikie maombi yangu, usikie kilio changu unisaidie, usiwe kiziwi kwa kulia kwangu. Kwani mimi ninaishi na wewe kama mgeni, kama walivyokuwa baba zangu wote,
Main kom kotin ereki ni kapakap, o mani ai likwir, o der japaimokid ni ai janejan, pwe nai japwilim omui men kairu o pweledan omui wei men dueta jam ai kan karoj.
13 Tazama mbali nami, ili niweze kufurahi tena kabla sijaondoka na nisiwepo tena.”
Kom kotin muei jan ia, pwe i en kelailada, mon ai pan kokowei o jolar mia.

< Zaburi 39 >