< Zaburi 39 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi. Nilisema, “Nitaziangalia njia zangu na kuuzuia ulimi wangu usije ukatenda dhambi; nitaweka lijamu kinywani mwangu wakati wote waovu wanapokuwa karibu nami.”
NGAI inda: I pan kanai ong al ai kan, pwe i ender wia dip ki lo i. I pan sali pena au ai arain en me sapung o mi re i.
2 Lakini niliponyamaza kimya na kutulia, hata pasipo kusema lolote jema, uchungu wangu uliongezeka.
I kadukiedier ai lokaia o nenenlar o solar inda duen peren, a ai kalokolok lalaudalar.
3 Moyo wangu ulipata moto ndani yangu, nilipotafakari, moto uliwaka, ndipo nikasema kwa ulimi wangu:
Mongiong i karakaradar nan kapedi, o ma i pan tamanda mepukat, a rasong kisiniai lulada; i ap lokaia kida lo i.
4 “Ee Bwana, nijulishe mwisho wa maisha yangu na hesabu ya siku zangu; nijalie kujua jinsi maisha yangu yanavyopita upesi.
Maing, kotin padaki ong ia, me maur i pan imwisokela, o imwi pan ai ran akan, me i pan samoer.
5 Umefanya maisha yangu mafupi kama pumzi; muda wangu wa kuishi ni kama hauna thamani kwako. Maisha ya kila mwanadamu ni kama pumzi.
Mangi, ai ran akan dueta tälap en pa en aramas re omui; o maur i likamata sota meakot mo’mui. Melel aramas, me kin keleki pein i, kin dueta adiniai. (Sela)
6 Hakika kila binadamu ni kama njozi aendapo huku na huko: hujishughulisha na mengi lakini ni ubatili; anakusanya mali nyingi, wala hajui ni nani atakayeifaidi.
Re kin alialu sili rasong mota, o re kin katoutouki pein irail dodok mal. Re kin nanak pena ap sasa, is me pan naineki.
7 “Lakini sasa Bwana, nitafute nini? Tumaini langu ni kwako.
Ari Maing, is me i en auiaui? I kaporoporeki komui.
8 Niokoe kutoka kwenye makosa yangu yote, usinifanye kuwa dhihaka ya wapumbavu.
Dore ia la sang dip ai karos, o kom der mueid ong, me pweipwei kan en kaurur kin ia.
9 Nilinyamaza kimya, sikufumbua kinywa changu, kwa sababu wewe ndiwe uliyetenda hili.
I pan nenenla o sota sar pasang au ai, pwe kom kotin wiadar.
10 Niondolee mjeledi wako, nimeshindwa kwa mapigo ya mkono wako.
Kotin katukiedi omui kaloke ia; pwe ngai dupok kilar ai kalokolok pan lim omui.
11 Unakemea na kuadhibu wanadamu kwa ajili ya dhambi zao; unaharibu utajiri wao kama nondo aharibuvyo: kila mwanadamu ni kama pumzi tu.
Ma kom pan kaloke amen pweki dip a, mom a kaselel ap pan suedala likamada man en mot kangala. O meid mal aramas karos! (Sela)
12 “Ee Bwana, usikie maombi yangu, usikie kilio changu unisaidie, usiwe kiziwi kwa kulia kwangu. Kwani mimi ninaishi na wewe kama mgeni, kama walivyokuwa baba zangu wote,
Maing kom kotin ereki ai kapakap, o mangi ai likwir, o der sapaimokid ni ai sangesang, pwe ngai sapwilim omui men kairu o pweledan omui wei men dueta sam ai kan karos.
13 Tazama mbali nami, ili niweze kufurahi tena kabla sijaondoka na nisiwepo tena.”
Kom kotin muei sang ia, pwe i en kelailada, mon ai pan kokowei o solar mia.

< Zaburi 39 >