< Zaburi 39 >

1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi. Nilisema, “Nitaziangalia njia zangu na kuuzuia ulimi wangu usije ukatenda dhambi; nitaweka lijamu kinywani mwangu wakati wote waovu wanapokuwa karibu nami.”
[Psalm lal David] Nga fahk, “Nga fah karinganang ma nga oru Ac tia lela tuh louk in aktafongyeyula; Nga fah tia fahk kutena ma Ke pacl mwet koluk elos muta apkuran.”
2 Lakini niliponyamaza kimya na kutulia, hata pasipo kusema lolote jema, uchungu wangu uliongezeka.
Nga mislana, ac tia fahk kutena kas, Finne ke ma wo, nga tia pac kaskas. Tusruktu keok luk yokyokelik,
3 Moyo wangu ulipata moto ndani yangu, nilipotafakari, moto uliwaka, ndipo nikasema kwa ulimi wangu:
Ac fosrnga uh kutangyula. Ke nga srike in nunku ma inge, na upala fohs luk, Pwanang nga tia ku in misla in siyuk,
4 “Ee Bwana, nijulishe mwisho wa maisha yangu na hesabu ya siku zangu; nijalie kujua jinsi maisha yangu yanavyopita upesi.
“LEUM GOD, nga ac moul putaka? Nga ac misa ngac? Fahk nu sik lah moul luk uh ac safla ngac.”
5 Umefanya maisha yangu mafupi kama pumzi; muda wangu wa kuishi ni kama hauna thamani kwako. Maisha ya kila mwanadamu ni kama pumzi.
Kom orala moul luk arulana fototo! Lusen moul luk ye motom oana ma wangin. Pwayena lah lusen moul lun mwet se oana momong na fototo se.
6 Hakika kila binadamu ni kama njozi aendapo huku na huko: hujishughulisha na mengi lakini ni ubatili; anakusanya mali nyingi, wala hajui ni nani atakayeifaidi.
El sarla oana lul se. Ma nukewa el oru wangin sripa; El akpusye mwe kasrup lal, ac tia etu lah su ac mau eis.
7 “Lakini sasa Bwana, nitafute nini? Tumaini langu ni kwako.
O Leum, mea nga ku in finsrak nu kac? Nga filiya finsrak luk in kom.
8 Niokoe kutoka kwenye makosa yangu yote, usinifanye kuwa dhihaka ya wapumbavu.
Moliyula liki ma koluk luk nukewa, Ac nikmet lela tuh mwet lalfon in aksruksrukyeyu.
9 Nilinyamaza kimya, sikufumbua kinywa changu, kwa sababu wewe ndiwe uliyetenda hili.
Nga ac mutana misla; nga ac fah tiana fahk sie kas, Mweyen kom pa oru nga keok ouinge uh.
10 Niondolee mjeledi wako, nimeshindwa kwa mapigo ya mkono wako.
Nikmet sifil akkeokyeyu, Tuh nga apkuran in misa ke sringsring lom!
11 Unakemea na kuadhibu wanadamu kwa ajili ya dhambi zao; unaharibu utajiri wao kama nondo aharibuvyo: kila mwanadamu ni kama pumzi tu.
Kom sang kas in kai nu sin sie mwet ke sripen ma koluk lal, Na, oana sie watil, kom kunausla ma el lungse yohk. Aok, moul lun mwet uh oana momong na fototo se.
12 “Ee Bwana, usikie maombi yangu, usikie kilio changu unisaidie, usiwe kiziwi kwa kulia kwangu. Kwani mimi ninaishi na wewe kama mgeni, kama walivyokuwa baba zangu wote,
O LEUM GOD, lohng pre luk, Porongo tung luk; Ase kasru lom nu sik ke pacl nga tung. Nga oana sie mwetsac su mutwata yurum ke kitin pacl na, Oana mwet matu nukewa luk somla ah.
13 Tazama mbali nami, ili niweze kufurahi tena kabla sijaondoka na nisiwepo tena.”
Fahla likiyu, nga in mau ku in engan kutu srisrik Meet liki nga som ac wanginla.

< Zaburi 39 >