< Zaburi 39 >
1 Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi. Nilisema, “Nitaziangalia njia zangu na kuuzuia ulimi wangu usije ukatenda dhambi; nitaweka lijamu kinywani mwangu wakati wote waovu wanapokuwa karibu nami.”
Na da amane sia: i, “Na da dawa: iwane hamomu. Na da na gona: su amoga mae wadela: le hamoma: mu. Wadela: i hamosu dunu da na gadenene aligisia, na da sia: hamedafa sia: mu.”
2 Lakini niliponyamaza kimya na kutulia, hata pasipo kusema lolote jema, uchungu wangu uliongezeka.
Na da ouiya: le esalu. Noga: i hou amolawane, na da hamedafa sia: i. Be na da bu baligiliwane se nabi.
3 Moyo wangu ulipata moto ndani yangu, nilipotafakari, moto uliwaka, ndipo nikasema kwa ulimi wangu:
Amalalu, beda: su hou da na hasali dagoi. Na da bu dawa: lalu amola bu baligili beda: i galu. Na da adole ba: su ouiya: mu da hamedei. Na da Hina Godema amane adole ba: i,
4 “Ee Bwana, nijulishe mwisho wa maisha yangu na hesabu ya siku zangu; nijalie kujua jinsi maisha yangu yanavyopita upesi.
“Hina Gode! Na da habowali seda esaloma: bela: ? Na da habogala bogoma: bela: ? Nama adoma! Na esalusu da habogala dagoma: bela: ?”
5 Umefanya maisha yangu mafupi kama pumzi; muda wangu wa kuishi ni kama hauna thamani kwako. Maisha ya kila mwanadamu ni kama pumzi.
Di da nama esalusu dunumuni fawane i dagoi. Na esalusu da Dia siga hamedei agoane ba: sa. Dafawane! Esalebe dunu huluane afae afae ea esalusu da foga afae fulabole fasibi defele gala.
6 Hakika kila binadamu ni kama njozi aendapo huku na huko: hujishughulisha na mengi lakini ni ubatili; anakusanya mali nyingi, wala hajui ni nani atakayeifaidi.
Ea esalusu da baba ba: be defele amola seda hame gala. Ea hamobe huluane da udigili fawane hamosa. E da muni amola liligi gagadosa. Be amo fa: no lamu dunu e da hame dawa:
7 “Lakini sasa Bwana, nitafute nini? Tumaini langu ni kwako.
Hina Gode! Amai galea, na da adi dafawane hamoma: beyale dawa: ma: bela: ? Na dafawane hamoma: beyale dawa: su da Dima dawa: lumu.
8 Niokoe kutoka kwenye makosa yangu yote, usinifanye kuwa dhihaka ya wapumbavu.
Na wadela: i hou hamoi huluane, amoga Dia na gaga: ma. Amola gagaoui dunu ilia naba: le mae oufesega: ma: ma.
9 Nilinyamaza kimya, sikufumbua kinywa changu, kwa sababu wewe ndiwe uliyetenda hili.
Na da ouiya: i dialumu, na da sia: afae hame sia: mu. Bai na agoane se nabima: ne, Difawane agoane hahamonesi.
10 Niondolee mjeledi wako, nimeshindwa kwa mapigo ya mkono wako.
Di da nama dawa: ma: ne olelesu se iasu bu mae ima! Na da Dia fane sali amoga bogomu agoai galebe.
11 Unakemea na kuadhibu wanadamu kwa ajili ya dhambi zao; unaharibu utajiri wao kama nondo aharibuvyo: kila mwanadamu ni kama pumzi tu.
Dunu ilia da wadela: i hou galea fawane, Di da ilima se bidi iaha. Amola Di da aowaba agoane, ilia liligi amoga ilia da asigi amo wadela: lesisa. Dafawane! Osobo bagade dunu da foga afae fulabolesibi amo defele gala.
12 “Ee Bwana, usikie maombi yangu, usikie kilio changu unisaidie, usiwe kiziwi kwa kulia kwangu. Kwani mimi ninaishi na wewe kama mgeni, kama walivyokuwa baba zangu wote,
Hina Gode! Na Dima sia: ne gadobe nabima! amola na Dima dini iabe nabima! Na da dinanea, nama fidila misa! Na da na aowalali defele, wahamusu dima sofe misi esala.
13 Tazama mbali nami, ili niweze kufurahi tena kabla sijaondoka na nisiwepo tena.”
Na da hedolowane asili, bu hame ba: muba: le, Dia na fonobahadi hahawane hamoma: ne, na yolesima.