< Zaburi 38 >
1 Zaburi ya Daudi. Maombi. Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako, wala kuniadhibu katika ghadhabu yako.
O Yahweh Pakai lung phatmo nan neilethuh hih in, nalunghan jeh in jong neijep hih in!
2 Kwa kuwa mishale yako imenichoma, na mkono wako umenishukia.
Nathal changho kasunga akikam dentan, nakhuttum in neivo lhutan ahi.
3 Hakuna afya mwilini mwangu kwa sababu ya ghadhabu yako, mifupa yangu haina uzima kwa sababu ya dhambi zangu.
Neilunghan khum jeh in katahsa pumpi hi anan, kachonset naho jeh in katahsa achip soh tai.
4 Maovu yangu yamenifunika kama mzigo usiochukulika.
Kathepmo nan eilon khum in, agihdan poh jouhoi ahitapoi.
5 Majeraha yangu yameoza na yananuka, kwa sababu ya upumbavu wa dhambi zangu.
Ngolhoi tah a kana chonset jehin, kamaha anasetan auidoh leotai.
6 Nimeinamishwa chini na kushushwa sana, mchana kutwa nazunguka nikiomboleza.
Kathoh gimna hin ei kong konsah tai, lung gim tah in nilhum kei in kavah len ahi.
7 Viuno vyangu vimejaa maumivu yaunguzayo, hakuna afya mwilini mwangu.
Khosih pi kasunga meikong bangin a allin, eidammo sahtai.
8 Nimedhoofika na kupondwa kabisa, nasononeka kwa maumivu makuu ya moyoni.
Keima kalhasam in kapum in kagoi lhatai. Kalungthim natna a kon in kapeng pengin ahi.
9 Ee Bwana, yote ninayoyaonea shauku yako wazi mbele zako, kutamani kwangu sana hakufichiki mbele zako.
Yahweh Pakai nangin ipi kangai chat ham nahei, nangin ka khoisatna jouse najai.
10 Moyo wangu unapigapiga, nguvu zangu zimeniishia; hata macho yangu yametiwa giza.
Kahaina hu alhasam tan katha beitai, chule kamit in jong kho amu tapoi.
11 Rafiki na wenzangu wananikwepa kwa sababu ya majeraha yangu; majirani zangu wanakaa mbali nami.
Kangailut chengle kagol kapaiten kahivei hi akichaovin eidalha taove. Ka insung mite jengjong achomin aumtaovin ahi.
12 Wale wanaotafuta uhai wangu wanatega mitego yao, wale ambao wangetaka kunidhuru huongea juu ya maangamizi yangu; hufanya shauri la hila mchana kutwa.
Hiche jeng a jong chun kagalmi ten kathi nading thang akam nalai uve. Kaman thahna ding toh gon anei un, nilhum keijin kathi nading agong taovin ahi.
13 Mimi ni kama mtu kiziwi, asiyeweza kusikia, ni kama bubu, asiyeweza kufungua kinywa chake,
Hinlah ken eikigih naho jouse chu kakijah mosah in, chuleh amasang uvah apaomo bangin thipbeh in kaumtai.
14 nimekuwa kama mtu asiyesikia, ambaye kinywa chake hakiwezi kutoa jibu.
Imacha jahlouding kanom in chuleh donbutna jong donbutlou ding kanom e.
15 Ee Bwana, ninakungojea wewe, Ee Bwana Mungu wangu, utajibu.
Ajeh chu O Yahweh Pakai nangma ngah jinga um a kahi. Nangin kataona neidonbut tei ding ahi O Yahweh Pakai Elohim ka Pathen.
16 Kwa kuwa nilisema, “Usiwaache wafurahie, wala wasijitukuze juu yangu mguu wangu unapoteleza.”
Keima katao in, “kadougalte noise tah in eivetsah dan, kalhuhna a jong kitaisah dan.”
17 Kwa maana ninakaribia kuanguka, na maumivu yangu yananiandama siku zote.
Keima tanglouva kathohgim na-ah akichaipai ding kahitai.
18 Naungama uovu wangu, ninataabishwa na dhambi yangu.
Hinlah kachonset naho kaphong-doh in, ka nachonna ho chu kakisih behseh jenge.
19 Wengi ni wale ambao ni adui zangu hodari, wale wanaonichukia bila sababu ni wengi.
Keiman dougal khohtah tah ho kanei e; amahon ajeh beihel in eidou ui.
20 Wanaolipa maovu kwa wema wangu hunisingizia ninapofuata lililo jema.
Amahon thilpha kabol chu thilsen eilethuh un, chuleh thilpha kachepi jing jeh in eidouvun ahi.
21 Ee Bwana, usiniache, usiwe mbali nami, Ee Mungu wangu.
O Yahweh Pakai neidalhahih in Elohim ka Pathen kei a kon in um gamla hih behin,
22 Ee Bwana Mwokozi wangu, uje upesi kunisaidia.
O Yahweh Pakai eihuh hingpa hungloi in lang nei kithopin.