< Zaburi 36 >
1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa Bwana. Kuna neno moyoni mwangu kuhusu hali ya dhambi ya mwovu. Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.
Przewodnikowi chóru. Psalm Dawida, sługi PANA. Nieprawość niegodziwego świadczy w mym sercu, [że] nie ma bojaźni Bożej przed jego oczyma.
2 Kwa kuwa machoni pake mwenyewe hujisifu mno hata hawezi kugundua au kuichukia dhambi yake.
Schlebia sobie bowiem w swoich oczach, [aż] jego nieprawość okaże się obrzydliwa.
3 Maneno ya kinywa chake ni maovu na ya udanganyifu, ameacha kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
Słowa jego ust to niegodziwość i fałsz, porzucił mądrość i czynienie dobra.
4 Hata kitandani mwake hupanga hila mbaya, hujitia katika njia ya dhambi na hakatai lililo baya.
Na swoim łożu obmyśla nieprawość, stoi na drodze niedobrej [i] nie brzydzi się złem.
5 Upendo wako, Ee Bwana, unafika hadi mbinguni, uaminifu wako hadi kwenye anga.
PANIE, twoje miłosierdzie sięga niebios, twoja wierność aż do obłoków.
6 Haki yako ni kama milima mikubwa, hukumu zako ni kama kilindi kikuu. Ee Bwana, wewe huwahifadhi mwanadamu na mnyama.
Twoja sprawiedliwość jak najwyższe góry, twoje sądy [jak] wielka przepaść; ty, PANIE, zachowujesz ludzi i zwierzęta!
7 Upendo wako usiokoma ni wa thamani mno! Watu wakuu na wadogo hujificha uvulini wa mbawa zako.
Jak cenne jest twoje miłosierdzie, Boże! Dlatego synowie ludzcy chronią się w cieniu twoich skrzydeł.
8 Wanajifurahisha katika wingi nyumbani mwako, nawe utawanywesha katika mto wa furaha zako.
Nasycą się obfitością twego domu, napoisz ich strumieniem twoich rozkoszy.
9 Kuwa pamoja nawe ni kijito cha uzima, katika nuru yako twaona nuru.
U ciebie bowiem jest źródło życia, w twojej światłości ujrzymy światłość.
10 Dumisha upendo wako kwa wale wanaokujua wewe, haki yako kwa wale walio wanyofu wa moyo.
Roztocz twe miłosierdzie nad tymi, którzy cię znają, a twoją sprawiedliwość nad ludźmi prawego serca.
11 Mguu wa mwenye kiburi usije dhidi yangu, wala mkono wa mwovu usinifukuze.
Niech nie następuje na mnie noga pyszałka, niech nie wygania mnie ręka niegodziwego.
12 Angalia jinsi watenda mabaya walivyoanguka: wametupwa chini, hawawezi kuinuka!
Oto tam upadli czyniący nieprawość, zostali powaleni i nie będą mogli powstać.