< Zaburi 36 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa Bwana. Kuna neno moyoni mwangu kuhusu hali ya dhambi ya mwovu. Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.
IET me i men inda jan lol en monion i duen tiak en me japun o: Jota lan Kot mi mon maj a.
2 Kwa kuwa machoni pake mwenyewe hujisifu mno hata hawezi kugundua au kuichukia dhambi yake.
A kin kotaue o linkapin, pwen pein i dadaurata a dodok jued, ap tataki me tei kan.
3 Maneno ya kinywa chake ni maovu na ya udanganyifu, ameacha kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
A lokaia karoj me jued o likam; a pil jota kin duki on padak, pwen wiada me mau.
4 Hata kitandani mwake hupanga hila mbaya, hujitia katika njia ya dhambi na hakatai lililo baya.
A kin madamadaua pon a loj. A kin weweid nani al me jota mau o jota kin juedeki me japun.
5 Upendo wako, Ee Bwana, unafika hadi mbinguni, uaminifu wako hadi kwenye anga.
Main, omui kalanan me ideda won lan, o omui melel pil lel on tapok kan.
6 Haki yako ni kama milima mikubwa, hukumu zako ni kama kilindi kikuu. Ee Bwana, wewe huwahifadhi mwanadamu na mnyama.
Omui pun rajon nana en Kot akan, o omui kadeik kan me rajon iluk ileile kalank; Main, komui me kotin dorela aramaj o man akan.
7 Upendo wako usiokoma ni wa thamani mno! Watu wakuu na wadogo hujificha uvulini wa mbawa zako.
Meid kajampwal omui kalanan Main Kot, pwe aramaj akan kin diar wajan kamaio pan mot en lim omui!
8 Wanajifurahisha katika wingi nyumbani mwako, nawe utawanywesha katika mto wa furaha zako.
Re pan jaliel kila dipijou toto nan tanpaj omui, o kom kotin kanim pil kin irail peren laud rajon pilap pot.
9 Kuwa pamoja nawe ni kijito cha uzima, katika nuru yako twaona nuru.
Pwe parer on maur mi re omui, o ni omui marain, je kin kilan marain.
10 Dumisha upendo wako kwa wale wanaokujua wewe, haki yako kwa wale walio wanyofu wa moyo.
Kom kotin dadaurata omui kalanan on mo aja komui, o omui pun on me melel jan ni monion arail.
11 Mguu wa mwenye kiburi usije dhidi yangu, wala mkono wa mwovu usinifukuze.
Kom der mueid on, i en tiatidi pan me aklapalap akan, o pa en me japun kan ender kapup ia di.
12 Angalia jinsi watenda mabaya walivyoanguka: wametupwa chini, hawawezi kuinuka!
A mejued akan en pupedi waja o, pwen ren lokidokila o jolar memaureda.

< Zaburi 36 >