< Zaburi 36 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa Bwana. Kuna neno moyoni mwangu kuhusu hali ya dhambi ya mwovu. Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.
IET me i men inda sang lol en mongiong i duen tiak en me sapung o: Sota lan Kot mi mon mas a.
2 Kwa kuwa machoni pake mwenyewe hujisifu mno hata hawezi kugundua au kuichukia dhambi yake.
A kin kotaue o lingkaping, pwen pein i dadaurata a dodok sued, ap tataki me tei kan.
3 Maneno ya kinywa chake ni maovu na ya udanganyifu, ameacha kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
A lokaia karos me sued o likam; a pil sota kin duki ong padak, pwen wiada me mau.
4 Hata kitandani mwake hupanga hila mbaya, hujitia katika njia ya dhambi na hakatai lililo baya.
A kin madamadaua pon a los. A kin weweid nani al me sota mau o sota kin suedeki me sapung.
5 Upendo wako, Ee Bwana, unafika hadi mbinguni, uaminifu wako hadi kwenye anga.
Maing, omui kalangan me ideda wong lang, o omui melel pil lel ong tapok kan.
6 Haki yako ni kama milima mikubwa, hukumu zako ni kama kilindi kikuu. Ee Bwana, wewe huwahifadhi mwanadamu na mnyama.
Omui pung rasong nana en Kot akan, o omui kadeik kan me rasong iluk ileile kalank; Maing, komui me kotin dorela aramas o man akan.
7 Upendo wako usiokoma ni wa thamani mno! Watu wakuu na wadogo hujificha uvulini wa mbawa zako.
Meid kasampwal omui kalangan Maing Kot, pwe aramas akan kin diar wasan kamaio pan mot en lim omui!
8 Wanajifurahisha katika wingi nyumbani mwako, nawe utawanywesha katika mto wa furaha zako.
Re pan saliel kila dipisou toto nan tanpas omui, o kom kotin kanim pil kin irail peren laud rasong pilap pot.
9 Kuwa pamoja nawe ni kijito cha uzima, katika nuru yako twaona nuru.
Pwe parer ong maur mi re omui, o ni omui marain, se kin kilang marain.
10 Dumisha upendo wako kwa wale wanaokujua wewe, haki yako kwa wale walio wanyofu wa moyo.
Kom kotin dadaurata omui kalangan ong me asa komui, o omui pung ong me melel sang ni mongiong arail.
11 Mguu wa mwenye kiburi usije dhidi yangu, wala mkono wa mwovu usinifukuze.
Kom der mueid ong, i en tiatidi pan me aklapalap akan, o pa en me sapung kan ender kapup ia di.
12 Angalia jinsi watenda mabaya walivyoanguka: wametupwa chini, hawawezi kuinuka!
A mesued akan en pupedi wasa o, pwe ren lokidokila o solar memaureda.

< Zaburi 36 >