< Zaburi 36 >
1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa Bwana. Kuna neno moyoni mwangu kuhusu hali ya dhambi ya mwovu. Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.
Til sangmesteren; av Herrens tjener, av David. Syndens ord til den ugudelige er i mitt hjertes innerste. Det er ikke gudsfrykt for hans øine.
2 Kwa kuwa machoni pake mwenyewe hujisifu mno hata hawezi kugundua au kuichukia dhambi yake.
For en smigrer ham i hans øine ved å finne hans synd, ved å hate ham.
3 Maneno ya kinywa chake ni maovu na ya udanganyifu, ameacha kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
Hans munns ord er urett og svik; han har latt av å fare viselig frem, å gjøre godt.
4 Hata kitandani mwake hupanga hila mbaya, hujitia katika njia ya dhambi na hakatai lililo baya.
Han optenker urett på sitt leie, han stiller sig på en vei som ikke er god; det onde hater han ikke.
5 Upendo wako, Ee Bwana, unafika hadi mbinguni, uaminifu wako hadi kwenye anga.
Herre! til himmelen når din miskunnhet, din trofasthet inntil skyene.
6 Haki yako ni kama milima mikubwa, hukumu zako ni kama kilindi kikuu. Ee Bwana, wewe huwahifadhi mwanadamu na mnyama.
Din rettferdighet er som veldige fjell, dine dommer er et stort dyp; mennesker og dyr frelser du, Herre!
7 Upendo wako usiokoma ni wa thamani mno! Watu wakuu na wadogo hujificha uvulini wa mbawa zako.
Hvor kostelig er din miskunnhet, Gud! Menneskenes barn søker ly i dine vingers skygge.
8 Wanajifurahisha katika wingi nyumbani mwako, nawe utawanywesha katika mto wa furaha zako.
De mettes overflødig av ditt huses fedme, og av dine gleders strøm gir du dem å drikke.
9 Kuwa pamoja nawe ni kijito cha uzima, katika nuru yako twaona nuru.
For hos dig er livets kilde, i ditt lys ser vi lys.
10 Dumisha upendo wako kwa wale wanaokujua wewe, haki yako kwa wale walio wanyofu wa moyo.
La din miskunnhet vare ved for dem som kjenner dig, og din rettferdighet for de opriktige av hjertet.
11 Mguu wa mwenye kiburi usije dhidi yangu, wala mkono wa mwovu usinifukuze.
La ikke den overmodiges fot komme over mig og ikke de ugudeliges hånd jage mig bort!
12 Angalia jinsi watenda mabaya walivyoanguka: wametupwa chini, hawawezi kuinuka!
Der faller de som gjør urett; de blir støtt ned og kan ikke reise sig.