< Zaburi 36 >
1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa Bwana. Kuna neno moyoni mwangu kuhusu hali ya dhambi ya mwovu. Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.
Pour la fin, au serviteur du Seigneur, par David lui-même. L’impie a dit en lui-même qu’il pécherait: la crainte de Dieu n’est pas devant ses yeux.
2 Kwa kuwa machoni pake mwenyewe hujisifu mno hata hawezi kugundua au kuichukia dhambi yake.
Parce qu’il a agi astucieusement en sa présence, en sorte que son iniquité est trouvée digne de haine.
3 Maneno ya kinywa chake ni maovu na ya udanganyifu, ameacha kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
Les paroles de sa bouche sont injustice et astuce: il n’a pas voulu s’instruire pour faire le bien.
4 Hata kitandani mwake hupanga hila mbaya, hujitia katika njia ya dhambi na hakatai lililo baya.
Il a médité l’iniquité sur son lit: il s’est arrêté dans toute voie qui n’était pas bonne: et la malice, il ne l’a point haïe.
5 Upendo wako, Ee Bwana, unafika hadi mbinguni, uaminifu wako hadi kwenye anga.
Seigneur, dans le ciel est votre miséricorde; et votre vérité s’élève jusqu’aux nues.
6 Haki yako ni kama milima mikubwa, hukumu zako ni kama kilindi kikuu. Ee Bwana, wewe huwahifadhi mwanadamu na mnyama.
Votre justice est comme les montagnes de Dieu, vos jugements sont un abîme profond. Vous sauverez, Seigneur, les hommes et les animaux,
7 Upendo wako usiokoma ni wa thamani mno! Watu wakuu na wadogo hujificha uvulini wa mbawa zako.
Puisque vous avez, ô Dieu, multiplié votre miséricorde. Mais les enfants des hommes espéreront à l’abri de vos ailes.
8 Wanajifurahisha katika wingi nyumbani mwako, nawe utawanywesha katika mto wa furaha zako.
Ils seront enivrés de l’abondance de votre maison: et vous les abreuverez du torrent de vos délices.
9 Kuwa pamoja nawe ni kijito cha uzima, katika nuru yako twaona nuru.
Parce qu’en vous est une source de vie, et que dans votre lumière nous verrons la lumière.
10 Dumisha upendo wako kwa wale wanaokujua wewe, haki yako kwa wale walio wanyofu wa moyo.
Étendez votre miséricorde à ceux qui vous connaissent, et votre justice à ceux qui ont le cœur droit.
11 Mguu wa mwenye kiburi usije dhidi yangu, wala mkono wa mwovu usinifukuze.
Qu’un pied de superbe ne vienne pas jusqu’à moi; et qu’une main de pécheur ne m’ébranle point.
12 Angalia jinsi watenda mabaya walivyoanguka: wametupwa chini, hawawezi kuinuka!
Là sont tombés ceux qui opèrent l’iniquité; ils ont été chassés et n’ont pu se soutenir.