< Zaburi 36 >

1 Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa Bwana. Kuna neno moyoni mwangu kuhusu hali ya dhambi ya mwovu. Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.
Til Sangmesteren. Af HERRENS Tjener David.
2 Kwa kuwa machoni pake mwenyewe hujisifu mno hata hawezi kugundua au kuichukia dhambi yake.
Synden taler til den gudløse inde i hans Hjerte; Gudsfrygt har han ikke for Øje;
3 Maneno ya kinywa chake ni maovu na ya udanganyifu, ameacha kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
thi den smigrer ham frækt og siger, at ingen skal finde hans Brøde og hade ham.
4 Hata kitandani mwake hupanga hila mbaya, hujitia katika njia ya dhambi na hakatai lililo baya.
Hans Munds Ord er Uret og Svig, han har ophørt at handle klogt og godt;
5 Upendo wako, Ee Bwana, unafika hadi mbinguni, uaminifu wako hadi kwenye anga.
paa sit Leje udtænker han Uret, han træder en Vej, som ikke er god; det onde afskyr han ikke.
6 Haki yako ni kama milima mikubwa, hukumu zako ni kama kilindi kikuu. Ee Bwana, wewe huwahifadhi mwanadamu na mnyama.
HERRE, din Miskundhed rækker til Himlen, din Trofasthed naar til Skyerne,
7 Upendo wako usiokoma ni wa thamani mno! Watu wakuu na wadogo hujificha uvulini wa mbawa zako.
din Retfærd er som Guds Bjerge, dine Domme som det store Dyb; HERRE, du frelser Folk og Fæ,
8 Wanajifurahisha katika wingi nyumbani mwako, nawe utawanywesha katika mto wa furaha zako.
hvor dyrebar er dog din Miskundhed, Gud! Og Menneskebørnene skjuler sig i dine Vingers Skygge;
9 Kuwa pamoja nawe ni kijito cha uzima, katika nuru yako twaona nuru.
de kvæges ved dit Huses Fedme, du læsker dem af din Lifligheds Strøm;
10 Dumisha upendo wako kwa wale wanaokujua wewe, haki yako kwa wale walio wanyofu wa moyo.
thi hos dig er Livets Kilde, i dit Lys skuer vi Lys!
11 Mguu wa mwenye kiburi usije dhidi yangu, wala mkono wa mwovu usinifukuze.
Lad din Miskundhed blive over dem, der kender dig, din Retfærd over de oprigtige af Hjertet.
12 Angalia jinsi watenda mabaya walivyoanguka: wametupwa chini, hawawezi kuinuka!
Lad Hovmods Fod ej træde mig ned, gudløses Haand ej jage mig bort. Se, Udaadsmændene falder, slaas ned, saa de ikke kan rejse sig.

< Zaburi 36 >