< Zaburi 34 >

1 Zaburi ya Daudi, alipojifanya mwendawazimu mbele ya Abimeleki, ambaye alimfukuza, naye akaondoka. Nitamtukuza Bwana nyakati zote, sifa zake zitakuwa midomoni mwangu siku zote.
Ob vseh časih bom blagoslavljal Gospoda, njegova hvala bo nenehno na mojih ustih.
2 Nafsi yangu itajisifu katika Bwana, walioonewa watasikia na wafurahi.
Moja duša bo storila svoje bahanje v Gospodu. Ponižni bodo o tem slišali in bodo veseli.
3 Mtukuzeni Bwana pamoja nami, naam, na tulitukuze jina lake pamoja.
Oh poveličujte z menoj Gospoda in skupaj poveličujmo njegovo ime.
4 Nilimtafuta Bwana naye akanijibu, akaniokoa kwenye hofu zangu zote.
Iskal sem Gospoda in me je uslišal ter me osvobodil pred vsemi mojimi strahovi.
5 Wale wamtazamao hutiwa nuru, nyuso zao hazifunikwi na aibu kamwe.
Pogledali so k njemu in bili ožarjeni in njihovi obrazi niso bili osramočeni.
6 Maskini huyu alimwita Bwana, naye akamsikia, akamwokoa katika taabu zake zote.
Ta revež je zajokal in Gospod ga je uslišal ter ga rešil pred vsemi njegovimi težavami.
7 Malaika wa Bwana hufanya kituo akiwazunguka wale wamchao, naye huwaokoa.
Gospodov angel tabori okoli teh, ki se ga bojijo in jih osvobaja.
8 Onjeni mwone kwamba Bwana ni mwema, heri mtu yule anayemkimbilia.
Oh okusite in vidite, da je Gospod dober. Blagoslovljen je človek, ki zaupa vanj.
9 Mcheni Bwana enyi watakatifu wake, kwa maana wale wamchao hawapungukiwi na chochote.
Oh bojte se Gospoda, vi njegovi sveti, kajti nič ne manjka tem, ki se ga bojijo.
10 Wana simba wenye nguvu hutindikiwa na kuona njaa, bali wale wamtafutao Bwana hawatakosa kitu chochote kilicho chema.
Mladim levom primanjkuje in trpijo lakoto, toda tistim, ki iščejo Gospoda, ne bo manjkala nobena dobra stvar.
11 Njooni, watoto wangu, mnisikilize, nitawafundisha kumcha Bwana.
Pridite, otroci, prisluhnite mi. Strahu Gospodovega vas bom učil.
12 Yeyote kati yenu anayependa uzima na kutamani kuziona siku nyingi njema,
Kakšen človek je tisti, ki želi življenje in ljubi mnoge dneve, da bi lahko videl dobro?
13 basi auzuie ulimi wake na mabaya, na midomo yake kutokana na kusema uongo.
Zadržuj svoj jezik pred zlom in svoje ustnice od govorjenja zvijače.
14 Aache uovu, atende mema, aitafute amani na kuifuatilia.
Odidi od zla in delaj dobro, išči mir in ga zasleduj.
15 Macho ya Bwana huwaelekea wenye haki, na masikio yake yako makini kusikiliza kilio chao.
Gospodove oči so na pravičnih in njegova ušesa so odprta k njihovemu klicanju.
16 Uso wa Bwana uko kinyume na watendao maovu, ili kufuta kumbukumbu lao duniani.
Gospodovo obličje je zoper te, ki delajo zlo, da z zemlje iztrebi spomin na njih.
17 Wenye haki hulia, naye Bwana huwasikia, huwaokoa katika taabu zao zote.
Pravični kličejo in Gospod uslišuje ter jih osvobaja iz vseh njihovih stisk.
18 Bwana yu karibu na waliovunjika moyo, na huwaokoa waliopondeka roho.
Gospod je blizu tem, ki so zlomljenega srca in rešuje takšne, ki so skesanega duha.
19 Mwenye haki ana mateso mengi, lakini Bwana humwokoa nayo yote,
Mnoge so stiske pravičnega, toda Gospod ga osvobaja iz njih vseh.
20 huhifadhi mifupa yake yote, hata mmoja hautavunjika.
Varuje vse njegove kosti niti ena izmed njih ni zlomljena.
21 Ubaya utamuua mtu mwovu, nao adui za mwenye haki watahukumiwa.
Zlo bo pokončalo zlobnega in tisti, ki sovražijo pravične, bodo zapuščeni.
22 Bwana huwakomboa watumishi wake, yeyote anayemkimbilia yeye hatahukumiwa kamwe.
Gospod odkupuje dušo svojih služabnikov in nobeden od teh, ki zaupajo vanj, ne bo zapuščen.

< Zaburi 34 >