< Zaburi 34 >
1 Zaburi ya Daudi, alipojifanya mwendawazimu mbele ya Abimeleki, ambaye alimfukuza, naye akaondoka. Nitamtukuza Bwana nyakati zote, sifa zake zitakuwa midomoni mwangu siku zote.
Van David, toen hij zich voor Abimé als een krankzinnige had aangesteld, door hem was weggejaagd, en was heengegaan. Altijd wil ik Jahweh prijzen, Steeds trilt zijn lofzang in mijn mond.
2 Nafsi yangu itajisifu katika Bwana, walioonewa watasikia na wafurahi.
Mijn ziel zal roemen in Jahweh; Bedrukten zullen het horen, en juichen.
3 Mtukuzeni Bwana pamoja nami, naam, na tulitukuze jina lake pamoja.
Verheerlijkt Jahweh met mij, Laat ons te zamen zijn Naam verheffen:
4 Nilimtafuta Bwana naye akanijibu, akaniokoa kwenye hofu zangu zote.
Ik heb Jahweh gesmeekt; Hij heeft mij verhoord, En mij van al mijn angsten bevrijd.
5 Wale wamtazamao hutiwa nuru, nyuso zao hazifunikwi na aibu kamwe.
Ziet naar Hem op, dan straalt gij van vreugde, En uw gelaat zal niet blozen van schaamte.
6 Maskini huyu alimwita Bwana, naye akamsikia, akamwokoa katika taabu zake zote.
Hier is een rampzalige, die om hulp heeft geroepen: Jahweh heeft hem gehoord, en van al zijn ellende verlost.
7 Malaika wa Bwana hufanya kituo akiwazunguka wale wamchao, naye huwaokoa.
De engel van Jahweh slaat zijn legerplaats op Rond die Hem vrezen, om ze te redden!
8 Onjeni mwone kwamba Bwana ni mwema, heri mtu yule anayemkimbilia.
Smaakt en beseft dan de goedheid van Jahweh; Gelukkig de man, die zijn hoop op Hem stelt.
9 Mcheni Bwana enyi watakatifu wake, kwa maana wale wamchao hawapungukiwi na chochote.
Vreest Jahweh, zijn vromen, Want die Hem duchten, ontbreekt het aan niets;
10 Wana simba wenye nguvu hutindikiwa na kuona njaa, bali wale wamtafutao Bwana hawatakosa kitu chochote kilicho chema.
Rijken kunnen verarmen en hongeren, Die Jahweh zoekt, komt niets te kort.
11 Njooni, watoto wangu, mnisikilize, nitawafundisha kumcha Bwana.
Komt nu, kinderen, en luistert naar mij! Ik leer u, hoe men Jahweh moet vrezen,
12 Yeyote kati yenu anayependa uzima na kutamani kuziona siku nyingi njema,
En wie het is, die van het leven geniet, Lengte van dagen zich wenst, om het goede te zien:
13 basi auzuie ulimi wake na mabaya, na midomo yake kutokana na kusema uongo.
Bewaar uw tong voor het kwaad, En uw lippen voor leugen;
14 Aache uovu, atende mema, aitafute amani na kuifuatilia.
Vlucht het kwaad, doe enkel wat goed is; Zoek de vrede, en jaag hem na!
15 Macho ya Bwana huwaelekea wenye haki, na masikio yake yako makini kusikiliza kilio chao.
De ogen van Jahweh zijn op de vromen gericht, Zijn oren naar hun smeken gekeerd;
16 Uso wa Bwana uko kinyume na watendao maovu, ili kufuta kumbukumbu lao duniani.
Maar Jahweh’s aanschijn blikt grimmig tegen de bozen, Om hun gedachtenis van de aarde te delgen.
17 Wenye haki hulia, naye Bwana huwasikia, huwaokoa katika taabu zao zote.
De vromen roepen, en Jahweh verhoort hen, En verlost ze van al hun ellende;
18 Bwana yu karibu na waliovunjika moyo, na huwaokoa waliopondeka roho.
Gebroken harten blijft Jahweh nabij, Vermorzelde zielen komt Hij te hulp.
19 Mwenye haki ana mateso mengi, lakini Bwana humwokoa nayo yote,
Hoe talrijk de rampen van den rechtvaardige ook zijn, Jahweh redt hem er uit;
20 huhifadhi mifupa yake yote, hata mmoja hautavunjika.
Jahweh is voor al zijn beenderen bezorgd, Niet één daarvan wordt gebroken.
21 Ubaya utamuua mtu mwovu, nao adui za mwenye haki watahukumiwa.
De zonde brengt den boze de dood, En wie den rechtvaardige haat, moet het boeten.
22 Bwana huwakomboa watumishi wake, yeyote anayemkimbilia yeye hatahukumiwa kamwe.
Maar zijn dienaars spaart Jahweh het leven; Wie tot Hem vlucht, zal het nimmer berouwen.